Ibada ya kwanza
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 3,282
- 1,810
TCRA huwa wanafanya Kazi upande mmoja tuNi mtoto wa mfalme wa wapi huyu anatukana watu hivi na tcra wanamdere tuu??
Kumbe ni wale wenye mikono ya swetaNi mjaluo
Hilo sijasema mie...sitaki ugomvi nae[emoji23]Kumbe ni wale wenye mikono ya sweta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe ni wale wenye mikono ya sweta
Sasa aendelee endeee mwisho wa siku atamtukana mkuu wa kaya, hapo ndio ataijua june julyKila nikipita mitandaon nakutana na
Baraka kamtukana LINEX
Baraka kamtukana BLUE
Baraka kamtukana Stani bakora
Baraka kamtukana msami
Si mkachape Fimbo? Kila siku kanatukana mnakaangalia tuuuuu why?
Na nyie kina dada mmeanza ubarakaKichaa mwenyewe, tena unikome mxieeew
Hahahahaa mkuu Pole Sana.Na nyie kina dada mmeanza ubaraka
Wamepishana tareheMmepishana kidogo tu kuja.
Siyo naj nasikia ni Kiba ndio anamfunza....Eti inasemekena eti Naj ndo anampa kiburi....
Inasemekana lakini[emoji124]
Made inMie huwa nnamsupport Lakini nimekuja kugundua Kuwa baraka Hana akili hata Kidogo, anapanic, hauwezi ucelebrity,kila kitu anajibu,kila scandal atukana tena mtandaoni, ajiona ni mwanamuziki kweli, asipoangalia atapotea kimziki Mapema Sana,, mtu gani asiyejua utani?? Mpaka nikahisi huenda ana tatizo maana siyo kwa kujibizana kishamba Huku,anaboa inshort
Inawezekana piaSiyo naj nasikia ni Kiba ndio anamfunza....
Waambie asee unaweza kuwa mchaga masikini ,au muhaya aliyekataa shule,au mkurya bwabwa,msukuma mjanja tabia anatengenezwa na mazingiraHuu ukabila umetokea wapi? Eti mtu akifanya madudu watu wanaanza kuuliza kabila lake. Tabia hazina kabila, acheni kukariri, Hivi Adolf Hitler alikuwa kabila gani? Je, Benito Mussolin? Je, Idd Amin. Kila mtu anazaliwa na hulka yake, tabia anajifunza kutokana na mazingira aliyokulia regardless ya kabila lake.