Halima Msasambuaji JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 504 Reaction score 1,256 Oct 14, 2016 #101 hongera dogo maaana mwaka wa tano serikalini sijaanza ata msingi
Mtanzanika JF-Expert Member Joined Feb 27, 2012 Posts 2,389 Reaction score 1,131 Oct 14, 2016 #102 Denis denny said: Huwelewe-Huelewi,Nikuwache-Nikuache, mpaka hapa utakuwa umetambua nani si mzima..mana shule mnaenda kusoma ujinga Click to expand... Hahahah Nikuwache ni neno linalotokana na mzizi WACHA ambalo ni neno fasaha la kiswahili. Rudi shule. "Huwelewe" hiyo ni typing error [emoji4] tatizo ni wewe ndugu yangu unakandia kwa kucomment juu ya hoja ambazo hazijazungumzwa na watu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Denis denny said: Huwelewe-Huelewi,Nikuwache-Nikuache, mpaka hapa utakuwa umetambua nani si mzima..mana shule mnaenda kusoma ujinga Click to expand... Hahahah Nikuwache ni neno linalotokana na mzizi WACHA ambalo ni neno fasaha la kiswahili. Rudi shule. "Huwelewe" hiyo ni typing error [emoji4] tatizo ni wewe ndugu yangu unakandia kwa kucomment juu ya hoja ambazo hazijazungumzwa na watu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]