Baraka Da Prince asapoti wimbo mpya wa Diamond, awashukia wanaompangia cha kuandika

Huo ushauri kampe Ommy Dimpoz
 
Hallelujah is a Hebrew word meaning “praise ye YAH (Yahweh).” Domo ameianza safari ya kuimba gospel mabwaku!!!!kiba kaimba peke yake unafananisha vp
mwacheni kiba aendelee kujiimarisha mikoani na afrika mashariki... mwenzie anaongeza kuimarisha ngome za afrika na nje ya afrika kwa spidi kubwa...

na hii kolabo ni jibu la ule mkataba na Universal Rec leb.
 
Ili jamaa nalichukia aise na weusi wake anajiona kawin sana maisha akati kakuta watu kwenye gemu sa kina AY , joh makini wangekua hivo ingekuwaje...ustaa unamsumbua uyo dogo
Ustaa unatakiwa iringe lakini ukiwa na uhakika wa kwamba unaweza na unafanya vyema kwenye soko la muziki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…