Baraka da Prince kipaji kinachoangushwa na kiburi

Daah Hemed akuna mtu pale,,kuna manzi alikomenti kuwa yeye(Hemed)sio Handsome ila anatembelea nyota ya Gelly wa Rhymes 2,,Daah akamjibu"We mdada unataka nikuf**e ila siwezi maana mk+nd+ wako ni mchafu kauoshe kwanza",,Daah uyu jamaa anae majibu asee
 
Kashamalizia ile Nyumba aliyosema ni yake kwenye kipindi cha EATV UJENZI?
 
Una bwabwaja tu na vipost vyako vya Ku-copy, uliataka kumuangushia lawama kiba, Punguza umsukule,.

Punguza ujuaji na Uongo wa hovyo hovyo na habari zako za kuokoteza, ni Vyema kama hujui kitu unakuja Pm unatuuliza wakongwe, siyo unatoka kwenye vipage uchwara huko unakuja kuropoka wakati wataalamu wa mambo tupo..
 
Eti Ali Kiba ni sawa na Best Nasso, jamaa ana majibu ya ki legend kwa kweli.
 
Umekosa hoja tatizo lipo kwenye shule yako.
Eti mkongwe ..nakupuuza chawa wewe
 
Hilo jibu kiboko😫😫😫😫
 
Daah Hemed akuna mtu pale,,kuna manzi alikomenti kuwa yeye(Hemed)sio Handsome ila anatembelea nyota ya Gelly wa Rhymes 2,,Daah akamjibu"We mdada unataka nikuf**e ila siwezi maana mk+nd+ wako ni mchafu kauoshe kwanza",,Daah uyu jamaa anae majibu asee
Jibu konki sana

Dawa ya moto ni moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…