yeah ile ngoma bora iwe ni balaa... RJ ndionani?Hiyo ngoma ya RJ ni nyokko na nusu
Rommy Jonesyeah ile ngoma bora iwe ni balaa... RJ ndionani?
anhaa RJ kaimba nini sasa mule.....? au ndiye mtunziRommy Jones
Ndie mwenye wimbo, anajifanya DJ Khaledanhaa RJ kaimba nini sasa mule.....? au ndiye mtunzi
daaah ila ile ngoma ni kwikwi...beat yake ndio balaa zaidi
😃😃😃 kibongo bongo itakula kwakeNdie mwenye wimbo, anajifanya DJ Khaled
Baraka majibu yake hayajafikia ya Yule mbongo fleva/bongo movie Hemmedy Ph.d hovyo sana huyo jamaa, aliwahi kuambiwa na shabiki wake huko mitandaoni' wewe ni shoga tu na yeye akajibu nimetoka kumpikia mume wetu niko tayari kitandani nasubiri aje nimpe doggy style,karibu.'
Duh mshabiki akaona isiwe soo akala kona chap chap.
Kashamalizia ile Nyumba aliyosema ni yake kwenye kipindi cha EATV UJENZI?Huyu jamaa angetulia vizuri now angekuwa mbali mnoo.
Shida ni kiburi na kujiona yeye anajua kila kitu..
Kashagombana. Na wengi waliomtoa ikiwemo mlezi wake kid bway..huyu jamaa ndo aliemtoa baraka uko mwanza ...ila jamaa kwa nyodo akaondoka.
ule wimbo wa Ben Paul moyo mashine ilikuwa aimbe baraka .kidbway alimlipa godluck gozbert aandike ila wakazinguan na baraka.ikabid apewe Ben Paul.
Baraka ana majibu mabaya mnoo kwa mashabiki huko kwenye mitandao ya kijamii.
Haoni tabu kutukana shabiki
Mfano kuna shabiki alimuulza baraka lini utatoa tena nyimbo na ruby?
Jamaa akajibu ,haitokuja kutokea kamwe ...!
Wimbo wake huu mpya (nimekoma) umemrudisha kwenye chart.maana alikuwa kapotea ..
Baraka badilika kabla ujachelewa...
Baraka ana majibu sijui kabila gani yule bwana
Una bwabwaja tu na vipost vyako vya Ku-copy, uliataka kumuangushia lawama kiba, Punguza umsukule,.Nimegundua kitu kwamba sio kila MTU mzima ana akili wengine hawana wewe ni mfano wake..
Niko hapa toka wakati upo Instagram so hata kubishana. Na wewe ni kujishushia hadhi..
Kwanza onyesha sehemu niliposema kiba alikuwa anasimamia kazi za baraka .na alikuwa bosi wake ..nilisema kiba ni moja ya mabosi hapo rockstar najua hujui..
Na sio kwamba alikuwa anasimamia kazi za baraka.
Baraka alibweteka baada ya kutua apo rockstar tofaut na alipokuwepo royal nsyepa.lebel iliyomkuza ..na alipata tuzo ya msanii bora chipukizi akiwa hapo...
Alipoenda Rock star ni kama aliridhika na kuona kamaliza kazi..
Hii nayo ili apply kwa mavoko ni uvivu na kujiona umemaliza.kazi.
Lakini ukakimbilia eti " onyesha kiba alipohusika kuanguka kwa baraka"..
Kwani wapi nilisema kiba ndo alimuangusha baraka??
Walimu wako wana hasara sana kaka
Umekosa hoja tatizo lipo kwenye shule yako.Una bwabwaja tu na vipost vyako vya Ku-copy, uliataka kumuangushia lawama kiba, Punguza umsukule,.
Punguza ujuaji na Uongo wa hovyo hovyo na habari zako za kuokoteza, ni Vyema kama hujui kitu unakuja Pm unatuuliza wakongwe, siyo unatoka kwenye vipage uchwara huko unakuja kuropoka wakati wataalamu wa mambo tupo..
Hilo jibu kiboko😫😫😫😫Baraka majibu yake hayajafikia ya Yule mbongo fleva/bongo movie Hemmedy Ph.d hovyo sana huyo jamaa, aliwahi kuambiwa na shabiki wake huko mitandaoni' wewe ni shoga tu na yeye akajibu nimetoka kumpikia mume wetu niko tayari kitandani nasubiri aje nimpe doggy style,karibu.'
Duh mshabiki akaona isiwe soo akala kona chap chap.
Dj Choka aliishia wapi ?Ndie mwenye wimbo, anajifanya DJ Khaled
Jibu konki sanaDaah Hemed akuna mtu pale,,kuna manzi alikomenti kuwa yeye(Hemed)sio Handsome ila anatembelea nyota ya Gelly wa Rhymes 2,,Daah akamjibu"We mdada unataka nikuf**e ila siwezi maana mk+nd+ wako ni mchafu kauoshe kwanza",,Daah uyu jamaa anae majibu asee
Vanessa kamtaja wapi Domo ?Mziki haulipi hujamskia Vanessa!! Bongo unamlipa Domo tu
Sijui kwakweli[emoji1]Dj Choka aliishia wapi ?
Na yeye alikuwa anaiga style za Dj Khaled