Baraka Da Prince kuwa matatani

Baraka Da Prince kuwa matatani

Mnataka kusema huyo Baraka mpk Sasa yuko chini ya ulinzi???

Ova
 
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds [emoji343] na [emoji342] jamani pesa tutafute kihalali asante. #
Sasa hao clouds ndo wamempa hayo madawa ameze?
 
clouds wanawaaribu vipi? mtu above 20 unaaribiwaje
 
Huo wimbo aliandikiwa na Goodluck Gosbert, na beat aligonga Goodluck Gosbert aka Lollpop (Kabla hajaanza kuimba nyimbo za dini), Badae Barack akazingua
Mbona Mkuu Naskia Beat Aligonga Yule Jamaa Kid Bway Sijui?
 
Huyu 'msukuma' tulimsihi alivyovamia mji kwa pupa hakutaka kusikia
 
Your numbers don't add up on the blow, that was ten years ago.

If you know, you know.

-Pusha T "If You Know You Know"
 
Anaharibiwa na clouds kivip
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds [emoji343] na [emoji342] jamani pesa tutafute kihalali asante. #
 
Huruma yangu kwa baraka iliondoka kwenye jembeka festival. Sadm mavoice ni dogo ambae alisota mtaani na Baraka de prince, kwenye jembeka festival sadm alimuomba Baraka, kwenye muda wake wa kutumbiza jukwaani ampe hata dk 1 aimbe watu wamjui Cha ajabu Baraka alikataa na muda wake wa kupanda jukwaani ulipofika akampandisha demu wake najma na kumtambulisha.
 
Huruma yangu kwa baraka iliondoka kwenye jembeka festival. Sadm mavoice ni dogo ambae alisota mtaani na Baraka de prince, kwenye jembeka festival sadm alimuomba Baraka, kwenye muda wake wa kutumbiza jukwaani ampe hata dk 1 aimbe watu wamjui Cha ajabu Baraka alikataa na muda wake wa kupanda jukwaani ulipofika akampandisha demu wake najma na kumtambulisha.
Baraka ana kibur na majivuno Sana,
 
Hii Habari!
Mbona mpaka Sasa haijathibitishwa
Kwenye media, zaidi ya humu jf tu
Ndiyo inandikwa

Ova
 
Back
Top Bottom