ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Duuu saf sana mkuu nilikuwa sijuiHuo wimbo aliandikiwa na Goodluck Gosbert, na beat aligonga Goodluck Gosbert aka Lollpop (Kabla hajaanza kuimba nyimbo za dini), Badae Barack akazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu saf sana mkuu nilikuwa sijuiHuo wimbo aliandikiwa na Goodluck Gosbert, na beat aligonga Goodluck Gosbert aka Lollpop (Kabla hajaanza kuimba nyimbo za dini), Badae Barack akazingua
Sasa hao clouds ndo wamempa hayo madawa ameze?Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds [emoji343] na [emoji342] jamani pesa tutafute kihalali asante. #
ni mjaluo si msukumaHuyo msukuma haji kutoa single kama Siachani nawe!!..
Duuuuhhhhh,kuna habar nyingi sana za kusemekana kuhusiana na the late Mangwair!Nakumbuka mwili wa Marehemu Mangwea baada ya jeneza kutua tu airport mtu wa kwanza kushika jeneza alikua ni Kinje Ngombare Mwiru.
Akili kumkichwa.
Mbona Mkuu Naskia Beat Aligonga Yule Jamaa Kid Bway Sijui?Huo wimbo aliandikiwa na Goodluck Gosbert, na beat aligonga Goodluck Gosbert aka Lollpop (Kabla hajaanza kuimba nyimbo za dini), Badae Barack akazingua
Kidbway alirekod tu pamoja na video, beat aligonga Lollpop a.k.a Goodluck Gosbert....Mbona Mkuu Naskia Beat Aligonga Yule Jamaa Kid Bway Sijui?
Chene! D'i nhamhala o'ndeza!Cho gashi naga no bebe u le munho?
Itakuwa amejichanganya nadhani alitaka kuandika 11.22pm...
Hakuna msukuma mweusi hivyo bwana Huyo ni Omela... Luo ya kwanza kuimba bongo fleva.....Huyu 'msukuma' tulimsihi alivyovamia mji kwa pupa hakutaka kusikia
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa, alijisahau akaanza kunywa bia ndipo Hali ikabadilika Sana, Kumbe hata kuachana na mpenzi wake kisa madawa na kutoka Rock star sababu alijiingiza Kwenye madawa walimkataza lakini kijana wapi haelewi Kabisa mpaka alitaka kuuza nyumba yake iliyoko jijini mwanza maeneo ya nyamongolo. Unajua wanamziki wanahalibiwa na jamaa hawa wa clouds [emoji343] na [emoji342] jamani pesa tutafute kihalali asante. #
👍! hawa vijana wanatafuta wakumwangushia jumba bovu.Ujinga mfanye nyie lawama muwape clouds aiseee
Baraka ana kibur na majivuno Sana,Huruma yangu kwa baraka iliondoka kwenye jembeka festival. Sadm mavoice ni dogo ambae alisota mtaani na Baraka de prince, kwenye jembeka festival sadm alimuomba Baraka, kwenye muda wake wa kutumbiza jukwaani ampe hata dk 1 aimbe watu wamjui Cha ajabu Baraka alikataa na muda wake wa kupanda jukwaani ulipofika akampandisha demu wake najma na kumtambulisha.
Huyo msukuma haji kutoa single kama Siachani nawe!!..