Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hiyo sio issue kabisa. wasanii wangapi wakubwa hapa bongo wanatungiwa nyimbo zao na barnaba, na mbona bado wanaendelea kuwika ?!Maneno yako yana ukweli ila sio 100% kwanza nyimbo hajui kutunga anapewa tu aimbe hiyo ndo tofauti kubwa ya BARAKAH na wasanii wenzake otherwise he can do well if will change
[QBaraka E="Mzee Mchopu, post: 15133191, member: 248834"]Mkuu mleta uzi baraka anatoka mtaa mmoja na mimi mwanza.
Nachosema hapa ni cha kweli ni kwamba baraka kuziba nafas ya bin laden ni ngumu sana jua dimpoz kashindwa
Na nnasema baraka hawez sababu hajaweza kuwa na consistency na pia tambua kidbwoy hayupo kwenye media zinazofahamika kama alipokuepo RFA. Hata shemeji yangu mzee wa basi nenda kakosa consistency kwangu mi mondi bin laden ni sawa na CR7 AU LA PULGA KIRIKUU MTU MBAYA MESSI
HAIJAWAHI KUTOKEA MSANII ALIYETOKA KWENYE MIKONO YA KIDBWOY AKADUMU NDG YANGU! HUSEIN MACHOZI ALIJARIBU ILA KAISHA! KIDBWOY HANA MSANII ALIYEKO JUU KWA MUDA MREFU HIVYO HATA HUYU USITEGEMEE KITU
Hakuna msanii Tanzania aliyekuwa juu kwa mda mrefu kwa kutungiwa nyimbo labda njee ila Tanzania hapana na Barnabas anawatungia ma underground Mara nyingi Kama ruby hebu taja msanii mmoja aliyewahi kuwa juu kwa kutungiwa nyimbo!mbona hiyo sio issue kabisa. wasanii wangapi wakubwa hapa bongo wanatungiwa nyimbo zao na barnaba, na mbona bado wanaendelea kuwika ?!
Sijakataa ila it's m cost Sana hii system ya kutungiwa nyimboBaraka ni msanii wa kizazi chake na anafanya muziki wa kizazi chake tulipofika sasa watu awajali tena wimbo katunga nani bali umeitendea vipi nyimbo. Zama za ugangwe wa kujifanya umetunga kila wimbo wakati sio kweli zimepitwa. Baraka anafanya game ya kipeke yake na ana kitu fulani cha ustaa.
Kumfananisha Baraka na Diamond kimziki ni kutaka kumzika Baraka! Kama safari ndio kwanza Baraka ameanza!Maneno yako yana ukweli ila sio 100% kwanza nyimbo hajui kutunga anapewa tu aimbe hiyo ndo tofauti kubwa ya BARAKAH na wasanii wenzake otherwise he can do well if will change
Watu wanapenda utani na fani za watu kamandandio nani huyo baraka? Ndio namsikia leo