Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Bora usingewataja hao, Kiba alikwisha kimuziki miaka mingi sana sema tu anabebwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtalaka wa Nishandio nani huyo baraka? Ndio namsikia leo
Mmbea mwenzangu insta kimenukamzurimie post: 15148517 said:Wewe naye uliwaandikishiana kontrakti ya kuwa ndicho Diamond anachofanya na kushindana?
Ndimu hazijaisha bado.
Meneja kasema Next Week Hit mpya inadondoshwa"![]()
Hatari sana" Hit aft Hit kama namuona Plutnum akichukua tena MTV awards ths yearYaap moto huoo, wa AKA
Hatari sana" Hit aft Hit kama namuona Plutnum akichukua tena MTV awards ths year
Nikupiga kura tu mkuu" he canKubwa kuliko, atatisha saana akija kushinda Kora awards Artist of the continent... Yani hapo atatisha saaaaaana, maana ule mkwanja si mchezo...
Mkurarya anaitwa ali?Rabda azungumzie chipkiz/underground kidogo nitamuerewa