GRAPHIX MASTER
Senior Member
- May 22, 2015
- 165
- 87
ilikuwaje hadi akazungumza hivo? kama aliulizwa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwaje hadi akazungumza hivo? kama aliulizwa sawa
Msanii anayejielewa anayakwepa hayo maswali ya kipuuzi, mfano hili swali common la 'we ni Team Alikiba au Diamond', mfano mda si mrefu nimeona mtangazaji anamchokonoa Godzilla amuongelee Billnas, mara anaulizia kuhusu wao kufanya collabo, uzuri Godzilla kastuka kakataa kuongeleaNi kawaida ya waandishi kuuliza maswali ya kiunaafiki Kisha haijalishi umejibu vipi lazima wafanye manipulation kutengeneza story. Na watu wasivyokuwa na subira wakisoma tittle Tu wanarukia kwenye judgement moja kwa moja. Wasanii na watu maarufu vichwa maji wengi Wako kwenye mabifu yasio na maana kisa hii hii internet.
Tena kaandikiwa vyote vi tatu.asee kweli, vinyimbo vi3 anajiona star bongo, kama hapendi kazi za msodoki si akaushe tu.
Yuko wapi mr nice ssa ivi??? ikiwa hata nusu ya umaarufu wa mr nice hajafikia leo hii anajifanya hapendi mziki wa killer, kwa nyimbo 3 tu au anatafuta KIKI kupitia kwa msodoki??
Sasa kama we we ni team domo mwambie barakah da prince kashachukua kiti tayariBila shaka wewe utakua ni NAJ???
kijakazi wa kimba nakuonaSasa kama we we ni team domo mwambie barakah da prince kashachukua kiti tayari
Hahakijakazi wa kimba nakuona
Basi inawezekana kuna kitu hakipoa sawa kati yao halafu huyu young killer atakuwa ana shida ana gombana na monagangster edu boy na baraka halafu naskia dogo anapiga sana gambe yulenimekosa hata cha kuandika, mana nakumbuka baraka aliwah shirikishwa kwnye wimbo flan na young killer kitambo wakiwa mwanza, na baraka aliimba upuuz tu mule lakn killer aliua. na walikua marafk sana nakusaidiana kimuziki.