George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
- Thread starter
-
- #21
Ni official account mkuu...Tatizo kwa wimbo huu ni link official... kuna link tofauti za wimbo huu na zote zina viewers kati ya 50000 na 150000..... Inatakiwa Baraka ajipnge awe na account official ili pia imsaidie kuingiza pesa. Sina imani kuwa hata link uliyotumia kuutazama wimbo huo ni official
Hahahaa achaizo kama Ku upload nyimbo watu wana upload kila nyimbo itokayo,,,, sema tu ukweli Ngoma imebuma tena zaidi yakubumaTatizo kwa wimbo huu ni link official... kuna link tofauti za wimbo huu na zote zina viewers kati ya 50000 na 150000..... Inatakiwa Baraka ajipnge awe na account official ili pia imsaidie kuingiza pesa. Sina imani kuwa hata link uliyotumia kuutazama wimbo huo ni official
[emoji3] [emoji3] [emoji3] vevo wajinga sanaTatizo kwa wimbo huu ni link official... kuna link tofauti za wimbo huu na zote zina viewers kati ya 50000 na 150000..... Inatakiwa Baraka ajipnge awe na account official ili pia imsaidie kuingiza pesa. Sina imani kuwa hata link uliyotumia kuutazama wimbo huo ni official
link na mb100 Za kutizamia[emoji23]Ahahaaaaah...
Kwanini mama..?
Ngoja nikuwekee link basi..!
WCB dahKubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
Nabado kuna jiwe la rich mavoko kama wamatobo akitoa..Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
"Kama hauwezi kumshinda,ungana naye"Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
Yes, lakini yeye anaona ni bora aendelee kuota ndoto ya kumsubiria hashuke,wakiamini ndio anayewazibia ridhiki zao."Kama hauwezi kumshinda,ungana naye"
Acha 2 wachukie ikiwezekana wanye matikitiki. WCB ni kama maji,usipoyanywa bas utayaoga.Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.