Baraka ft Ali kiba na video ya nisamehe

Baraka ft Ali kiba na video ya nisamehe

Tatizo kwa wimbo huu ni link official... kuna link tofauti za wimbo huu na zote zina viewers kati ya 50000 na 150000..... Inatakiwa Baraka ajipnge awe na account official ili pia imsaidie kuingiza pesa. Sina imani kuwa hata link uliyotumia kuutazama wimbo huo ni official
Ni official account mkuu...
Ni youtube vevo account ambayo imefunguliwa kwaajili ya videos za Baraka na Ali Kiba..!
Kuna Link nimeweka hapo juu, unaweza cheki..!
 
Nilishaitazama mapema sana!! Kama hata pamoja na ba kuitumia VEVO ndio mapokeo yako hivi!!! Inatia shaka sana kuwa na mikataba na makampuni haya
 
Nimeona wimbo mpya wa DJ Khaleed unaviewers mamilion within 3 days na wanasimamiwa nadhani na hawahawa VEVO.
 
Baraka cheuc ana laana ya kumkana lollypop alikuwa ana muandikia nyimbo
 
Tatizo kwa wimbo huu ni link official... kuna link tofauti za wimbo huu na zote zina viewers kati ya 50000 na 150000..... Inatakiwa Baraka ajipnge awe na account official ili pia imsaidie kuingiza pesa. Sina imani kuwa hata link uliyotumia kuutazama wimbo huo ni official
Hahahaa achaizo kama Ku upload nyimbo watu wana upload kila nyimbo itokayo,,,, sema tu ukweli Ngoma imebuma tena zaidi yakubuma
 
Tatizo kwa wimbo huu ni link official... kuna link tofauti za wimbo huu na zote zina viewers kati ya 50000 na 150000..... Inatakiwa Baraka ajipnge awe na account official ili pia imsaidie kuingiza pesa. Sina imani kuwa hata link uliyotumia kuutazama wimbo huo ni official
[emoji3] [emoji3] [emoji3] vevo wajinga sana
 
Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
 
Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
WCB dah
 
Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
Nabado kuna jiwe la rich mavoko kama wamatobo akitoa..
 
Watu wako na SALOME wao bwana ........wanakimbizana...............
 
Maajabu ni hii nyimbo ya aje ya king kuzidiwa viewers na kidogo+salome wkt ilitoka mda kabla ya hizo nyimbo....if he is a king mbona iko hvo....nakujiita kote kipenz cha watu lkn bado watu wenyewe hawana mb za kuboost viewers wa nyimbo zake....
 
Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
"Kama hauwezi kumshinda,ungana naye"
 
Kubuma kwa wimbo huo,kumemfanya "mwenye matobo" Ommy Dimpoz hasitishe kutoa wimbo wake aliotaka kutoa kabla ya hii,anaivizia Salome ipungue makali ndio atoe.NA WASANII KARIBIA WOTE WA BONGO FLEVA KWA SASA WANAWACHUKIA WCB KINOMA.
Acha 2 wachukie ikiwezekana wanye matikitiki. WCB ni kama maji,usipoyanywa bas utayaoga.
 
Back
Top Bottom