Baraka Mpenja acha kuwaongopea watanzania...!! Tunakujua vizuri achana na dhambi hiyo mapema...!!

Baraka Mpenja acha kuwaongopea watanzania...!! Tunakujua vizuri achana na dhambi hiyo mapema...!!

Fundi kipara

Senior Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
125
Reaction score
247
Kwa Umri Alonao Mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!

Hadithi ya Mpenja Kuwa ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha EFM na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!

Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga

Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!

Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!

Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
 
Hivi nyie shabaki wa yanga mnakuwa na shida gani?unamlazimisha mtu majibu yako,we upo ndani ya moyo wake?Nafikiri utafiti ukifsnyika unawezs kuta washabiki wa yanga ndio wachawi tunaoishi nao huku mtaani,achana na tabia ya kuwa msemaji wa moyo wa mtu...ni inshara ya IQ ndogo.
 
Kwa Umri Alonao mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!

Hadithi ya Mpenja Kua ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha Efm na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!

Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania Ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga

Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!

Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!
Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
Uko sahihi kiongozi

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Mbona mnamtafutia zengwe? Akitangaza yanga ni kama Simba akitangaza Simba ni kama Yanga..au mnataka aje?
 
Kwa Umri Alonao mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!

Hadithi ya Mpenja Kua ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha Efm na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!

Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania Ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga

Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!

Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!
Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
Dogo unapata wapi muda wa kufuatilia maisha ya wanaume? Wanaume tunakuwa busy sana. Huo udaku muwe mnaambiana huko huko. Akiwa Simba au Yanga wewe unapata faida gani? Ndo maana siku hizi mnaolewa sana. Hamjishughulishi na mambo ya msingi. Mi nawaonya tu. Msije sema sisi wanaume wabaya.
 
Kwa Umri Alonao mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!

Hadithi ya Mpenja Kua ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha Efm na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!

Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania Ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga

Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!

Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!
Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
wala haisumbui kitu,na uzuri dube kaishasema kule azam,hakuna shabiki wa kweli wa azam,wote ni ama simba au yanga
 
Mpenja kwa akili kubwa aliyonayo lazima awe shabiki wa Simba tu, kule wenye akili ni JK na Baba Manara sa Mpenja ataanzaje kuwa Mtopolo kwa Mfano
 
hv alipotelea wapi kabla hajaanza kuskika tena hapa juzi kati?
 
Hivi nyie shabaki wa yanga mnakuwa na shida gani?unamlazimisha mtu majibu yako,we upo ndani ya moyo wake?Nafikiri utafiti ukifsnyika unawezs kuta washabiki wa yanga ndio wachawi tunaoishi nao huku mtaani,achana na tabia ya kuwa msemaji wa moyo wa mtu...ni inshara ya IQ ndogo.
Tena anakuja kuandika huku??
 
Kwaio ulivyojua kwamba yeye ni Simba imekusaidia Nini maishani zaidi ya kuendelea kua kwenye umaskini wa kutupwa ulionao?
 
Kwaio ulivyojua kwamba yeye ni Simba imekusaidia Nini maishani zaidi ya kuendelea kua kwenye umaskini wa kutupwa ulionao?
Punguza Chuki Dada Angu...!! Hunijui Vizuri lakini Naweza Kukumudu Kwa Kila Halii Nahivi Sijaoa
 
Punguza Chuki Dada Angu...!! Hunijui Vizuri lakini Naweza Kukumudu Kwa Kila Halii Nahivi Sijaoa
Kwaio ulivyojua kwamba yeye ni Simba imekusaidia Nini maishani zaidi ya kuendelea kua kwenye umaskini wa kutupwa ulionao?
 
Back
Top Bottom