Baraka Mpenja acha kuwaongopea watanzania...!! Tunakujua vizuri achana na dhambi hiyo mapema...!!

Baraka Mpenja acha kuwaongopea watanzania...!! Tunakujua vizuri achana na dhambi hiyo mapema...!!

JF INAZIDI KUPOTEZA MVUTO KUTOKANA NA AINA YA MEMBER INAOWASAJILI..........
Ukaona Ukiandika Kwa Herufi Ndogo Hutaeleweka....!!😂 Mkuu Ingekua Umepewa Dhamana ya Kutoa Rizki Pengine Hata Wazee Wako Ungewanyima na Wakafa kwa Njaa....!! Jf Hapavutii Eeh Futa Acc & Usiguse Vitu Visivyokuhusu Mbinu Hii Itakusaidia Sana
 
Unakuja JF una-refresh feeds kati ya nyuzi 10 unakuta 1 tu ndio ina kichwa, mikono na miguu, zilizobaki zote hazina maana.
Haya ni Simba tuchukue hatua gani sasa?
 
Mpenja kwa akili kubwa aliyonayo lazima awe shabiki wa Simba tu, kule wenye akili ni JK na Baba Manara sa Mpenja ataanzaje kuwa Mtopolo kwa Mfano
Mnafata Kauli za Mbumbumbu Mwenzenu Haji Manara Eeeh...!! Endelea Kuishi kwa Kukalili 😂😂 Na Tutawaburuza Mpaka Mseme Kati Yenu & Mangungu & Mwamedi na Try Again na Hana Akili😂😂
 
Unakuja JF una-refresh feeds kati ya nyuzi 10 unakuta 1 tu ndio ina kichwa, mikono na miguu, zilizobaki zote hazina maana.
Haya ni Simba tuchukue hatua gani sasa?
Huu Uzi Umewekwa Kwa Sababu Kuu 1 Tu...!! Mpenja Amefanya Mahojiano na Moja ya Online Na Kusema Kua Yeye Sio Simba wala Yanga Kwo Uzi Huu Umewekwa Hapa na Watu Tunaefahamu Timu Lake Ndakindaki
 
Back
Top Bottom