Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
Uko sahihi kiongoziKwa Umri Alonao mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!
Hadithi ya Mpenja Kua ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha Efm na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!
Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania Ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga
Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!
Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!
Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
Dogo unapata wapi muda wa kufuatilia maisha ya wanaume? Wanaume tunakuwa busy sana. Huo udaku muwe mnaambiana huko huko. Akiwa Simba au Yanga wewe unapata faida gani? Ndo maana siku hizi mnaolewa sana. Hamjishughulishi na mambo ya msingi. Mi nawaonya tu. Msije sema sisi wanaume wabaya.Kwa Umri Alonao mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!
Hadithi ya Mpenja Kua ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha Efm na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!
Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania Ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga
Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!
Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!
Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
Hawa madogo ndo maana wanavuliwa ubingwa sana. Wana tabia za kufuatilia sana wanaume.Mbona mnamtafutia zengwe? Akitangaza yanga ni kama Simba akitangaza Simba ni kama Yanga..au mnataka aje?
wala haisumbui kitu,na uzuri dube kaishasema kule azam,hakuna shabiki wa kweli wa azam,wote ni ama simba au yangaKwa Umri Alonao mpenja ni Dhambi Kubwa Sana Kuwaongopea Watoto wa Mama Kizimkazi Kwamba Sio Simba & Yanga ni Dhambi Kubwa Kama Kuzini Mchana wa Ramadan....!!
Hadithi ya Mpenja Kua ni Shabiki Ndakindaki wa Simba Niliambiwa na Jamaa Angu Geof Lea Ambae ni Mwanahabari wa Kituo cha Efm na Pia Yeye ni Shabiki wa Simba...!!
Kwa Utaratibu na Mwenendo wa Nchi ya Tanzania Ni Asilimia Chache Sana Watu Kutoshabikia Simba & Yanga
Tuachane na Dhambi Hizo Kwani Ukijulikana Wewe ni Kolo Kuna Ubaya Gani....!!
Mapenzi ni Kama Kikohozi Tu....!!
Believe it or Not Baraka Addison Mpenja ni Kolo Ndakindaki
Alipigwa zengwe la Mpenja TVhv alipotelea wapi kabla hajaanza kuskika tena hapa juzi kati?
Tena anakuja kuandika huku??Hivi nyie shabaki wa yanga mnakuwa na shida gani?unamlazimisha mtu majibu yako,we upo ndani ya moyo wake?Nafikiri utafiti ukifsnyika unawezs kuta washabiki wa yanga ndio wachawi tunaoishi nao huku mtaani,achana na tabia ya kuwa msemaji wa moyo wa mtu...ni inshara ya IQ ndogo.
Siku hizi kajikita kutangaza game za mambo mbumbumbu tuhivi kama hata akiwa shabiki wa Simba kuna shida gani?
Mbona kazi yake anaifanya kwa weledi tu..
Punguza Chuki Dada Angu...!! Hunijui Vizuri lakini Naweza Kukumudu Kwa Kila Halii Nahivi SijaoaKwaio ulivyojua kwamba yeye ni Simba imekusaidia Nini maishani zaidi ya kuendelea kua kwenye umaskini wa kutupwa ulionao?
Kwaio ulivyojua kwamba yeye ni Simba imekusaidia Nini maishani zaidi ya kuendelea kua kwenye umaskini wa kutupwa ulionao?Punguza Chuki Dada Angu...!! Hunijui Vizuri lakini Naweza Kukumudu Kwa Kila Halii Nahivi Sijaoa
Azam Waliona Dogo Anataka Kushindana Biznez na Boss Wake...!! Vile Aliona Kionline Tv Chake Kinatrend YouTube Kuliko Content za Azam Wakaona Wamfiche Studio Awe Ana Edit VideoSiku hizi kajikita kutangaza game za mambo mbumbumbu tu
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app