Baraka Shamte aliyemkosoa Rais wa Zanzibar, ajeruhiwa, akufukuzwa uanachama CCM

Baraka Shamte aliyemkosoa Rais wa Zanzibar, ajeruhiwa, akufukuzwa uanachama CCM

Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.

Bado haijajulikana ni vikao ganibvya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.

======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.

Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.

Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.

==================

SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA

CCM ni chama hatari dunia.​

 
Tuliwahi kusema Hussein Mwinyi hafai kuwa Rais kwani mbinafsi na yupo kibiashara zaidi
 
Hii ni dhambi kubwa na laana haitawaacha wahusika.
 
A
Kwa CCM hakuna ajabu kama Mwinyi alizabwa kibao akiwa na miaka 100+ nini kwa miaka 83 inashindikana?
ACha uongo, Mwinyi hakuzabwa na wana CCM, alizabwa na mtu wa dini yake kwenye kongamano la kidini na hakuwa na miaka 100, aliyemzaba ni mwanachama wa chadema.
 
Hussein Mwinyi alimuagiza Kanali mmoja anaitwa Msingiri (ni khanithi kama Mwinyi) ambae anaongoza kikosi cha hao mazombi wamteke Mzee shamte
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.

Bado haijajulikana ni vikao ganibvya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.

======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.

Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.

Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.

==================

SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA

Furaha yangu kuona ccm wakitafunana wao kwa wao✌️
 
Ingependeza Kama Shamte angelipinga mahakamani kuvuliwa uanachama wake na CCM unheard tuone akina Mgeta watatoa hukumu gani.
 
Nikimkumbuka Ben saa 8 machozi yananidondoka, kweli nimeamini CCM ni ileile ya wauaji.
Kuhusu ben saa 8 hapo ccm ni mavii ila naitoa kwenye kesi ya ben hapo kesi ni ya chadema na mbowe
 
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.

Bado haijajulikana ni vikao ganibvya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.

======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.

Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.

Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.

==================
View attachment 2260206
Baraka Shamte akizunguma kuhusu utawala wa Zanzibar​

SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA

Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
 
Alisema Mh Lema, wakitumaliza sisi watawageukia na nyie, sasa ccm uwaneni kabisa ili mtoane kafara,
....hicho kibabu cha 83 years nadhan wangekiua tu, kiliwazodoa sana akina Maalim.
Wapemba wana msemo
''NGOMBE KAMPIGA MCHUNGA WAKE''
CCM imekuwa wakiandaa makundi ya uharamia ili kuwaadhibu wpinzani.
lakini leo wanamuadhibu bosi wao na Comrade mkongwe wa Fitna na aliyekuwa mpiga kampeni za Uraisi wa Mwinyi.
 
Back
Top Bottom