Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
UVCCM hawaangaliagi hiloUnampigaje Mzee wa miaka 83?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UVCCM hawaangaliagi hiloUnampigaje Mzee wa miaka 83?
Ndiyo kawaida yenu nyinyi uvccm mkishirikiana na policcm. Hivyo usijifanye kushangaa.Unampigaje Mzee wa miaka 83?
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.
Bado haijajulikana ni vikao ganibvya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.
======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.
==================
SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA
ACha uongo, Mwinyi hakuzabwa na wana CCM, alizabwa na mtu wa dini yake kwenye kongamano la kidini na hakuwa na miaka 100, aliyemzaba ni mwanachama wa chadema.Kwa CCM hakuna ajabu kama Mwinyi alizabwa kibao akiwa na miaka 100+ nini kwa miaka 83 inashindikana?
Laana kubwa sana hiiUnampigaje Mzee wa miaka 83?
Lakini si alizabwaA
ACha uongo, mwinyi hakuzabwa na wana CCM, alizabwa na mtu wa dini yake kwenye kongamano la kidini na hakuwa na miaka 100, aliyemzaba ni mwanachama wa chadema.
Furaha yangu kuona ccm wakitafunana wao kwa wao✌️Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.
Bado haijajulikana ni vikao ganibvya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.
======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.
==================
SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA
na mbaya zaidi huwezi kusema 😁😁Isije ikawa walimpigia miti Mzee wa watu,,
maana kwenye adhabu zote hiyo ndy inauma Sana.
CCM hawafaiUsimsahau Chacha Wangwe
Kuhusu ben saa 8 hapo ccm ni mavii ila naitoa kwenye kesi ya ben hapo kesi ni ya chadema na mboweNikimkumbuka Ben saa 8 machozi yananidondoka, kweli nimeamini CCM ni ileile ya wauaji.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia usiku huu, inadaiwa kwamba mtu huyu mzalendo, aliyetekwa na kunusurika kuuawa na Janjawidi pamoja na Mazombie, ambao ni watekaji maalum wa Zanzibar (Tanganyika wanaitwa wasiojulikana), hata baada ya kuokotwa na Majeraha makubwa bado ametimuliwa ndani ya CCM.
Bado haijajulikana ni vikao ganibvya ccm vya ngazi ipi vilivyokubaliana kumfuta uanachama.
======
CCM Mkoa wa Mjini Zanzibar imemfukuza Uanachama Mwanasiasa Baraka Shamte ikisema ni sababu amekashifu madaraka ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi hadharani.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Imeelezwa kwamba Mzee Baraka Shamte amelazwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Unguja Zanzibar kutokana na kupigwa na Watu wasiojulikana ambapo Polisi Zanzibar, leo wamekiri kupokea taarifa za kujeruhiwa kwa Mzee huyu mwenye umri wa miaka 83 akiwa eneo la Unguja Ukuu.
==================
View attachment 2260206
Baraka Shamte akizunguma kuhusu utawala wa Zanzibar
SERIKALI YALAANI SHAMTE KUJERUHIWA
Wapemba wana msemoAlisema Mh Lema, wakitumaliza sisi watawageukia na nyie, sasa ccm uwaneni kabisa ili mtoane kafara,
....hicho kibabu cha 83 years nadhan wangekiua tu, kiliwazodoa sana akina Maalim.
Dah!!na mbaya zaidi huwezi kusema [emoji16][emoji16]
Nchi inapitia wakati mgumu kuwahi kutokea. Gunia la mahindi limefika Tsh 180,000