Kwa hiyo haki ya Chacha Wangwe itasubiri mpaka Chadema ikamate dola? Maana naona CCM wanapiga umbea tu na ndio wenye serikali!!Usimsahau Chacha Wangwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo haki ya Chacha Wangwe itasubiri mpaka Chadema ikamate dola? Maana naona CCM wanapiga umbea tu na ndio wenye serikali!!Usimsahau Chacha Wangwe
Kipindi cha uchaguzi huwa wanakuwa kitu kimojaFuraha yangu kuona ccm wakitafunana wao kwa wao✌️
Wakati wa uchaguzi dola inashika hatamu. CCM inakaa pembeni kusubiri wenye nchi yao wafanye yao kisha wao waingie kuimba mapambio ya utukufu kwa mshika hatamu. CCM ni msukule tu unaotumiwa na wenye dola kutawala nchi.Kipindi cha uchaguzi huwa wanakuwa kitu kimoja
Hii ni laana hiiUnampigaje Mzee wa miaka 83?