M mundaliku JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 618 Reaction score 774 Jun 14, 2022 #41 johnthebaptist said: Usimsahau Chacha Wangwe Click to expand... Kwa hiyo haki ya Chacha Wangwe itasubiri mpaka Chadema ikamate dola? Maana naona CCM wanapiga umbea tu na ndio wenye serikali!!
johnthebaptist said: Usimsahau Chacha Wangwe Click to expand... Kwa hiyo haki ya Chacha Wangwe itasubiri mpaka Chadema ikamate dola? Maana naona CCM wanapiga umbea tu na ndio wenye serikali!!
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Jun 14, 2022 #42 kipara20 said: Furaha yangu kuona ccm wakitafunana wao kwa wao✌️ Click to expand... Kipindi cha uchaguzi huwa wanakuwa kitu kimoja
kipara20 said: Furaha yangu kuona ccm wakitafunana wao kwa wao✌️ Click to expand... Kipindi cha uchaguzi huwa wanakuwa kitu kimoja
Drifter JF-Expert Member Joined Jan 4, 2010 Posts 5,122 Reaction score 5,104 Jun 14, 2022 #43 Bejamini Netanyahu said: Kipindi cha uchaguzi huwa wanakuwa kitu kimoja Click to expand... Wakati wa uchaguzi dola inashika hatamu. CCM inakaa pembeni kusubiri wenye nchi yao wafanye yao kisha wao waingie kuimba mapambio ya utukufu kwa mshika hatamu. CCM ni msukule tu unaotumiwa na wenye dola kutawala nchi.
Bejamini Netanyahu said: Kipindi cha uchaguzi huwa wanakuwa kitu kimoja Click to expand... Wakati wa uchaguzi dola inashika hatamu. CCM inakaa pembeni kusubiri wenye nchi yao wafanye yao kisha wao waingie kuimba mapambio ya utukufu kwa mshika hatamu. CCM ni msukule tu unaotumiwa na wenye dola kutawala nchi.
Last emperor JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 10,351 Reaction score 9,855 Jun 14, 2022 #44 johnthebaptist said: Unampigaje Mzee wa miaka 83? Click to expand... Hii ni laana hii
kimsboy JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 9,846 Reaction score 20,319 Jun 16, 2022 #45 [emoji24]