Barakadarprince rudi shule.Ya uislamu yanakujaje?

Barakadarprince rudi shule.Ya uislamu yanakujaje?

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
2a704c683ca4fa12e2b974fdbe077a36.jpg

Hiyo photo mtajuana Eric omond mwenyewe.
Sasa haya uislamu yanakujaje?
3c625d2156532db0804084e39a043561.jpg
 
Mbona Nas mbona alishafanya kitambo.Sema Mimi sio mshabiki wa blasphemous.
 
Kwani ninini alichokosea hapo?unaona alichokifanya huyo juha hapo juu ni sawa sio,watu wamechora vikatuni vyao huko Ufaransa bongo mmeandamana wenzenu waarabu wameua watu leo useme alichokosema jamaa hapo juu ni uongo?u must be kidding dude.
 
Mbona Nas mbona alishafanya kitambo.Sema Mimi sio mshabiki wa blasphemous.
Nas alifanya ndiyo but kilichosababisha akapost hivyo ni hayo maneno yaliyoandikwa hapo kwenye kibao.
 
Again, sijaona offence yoyote kwa alichofanya Eric Omondi. Hapo hakuwa na lengo la kuchekesha but kufikisha ujumbe kwa Wakristo wenzake.
 
Kimtu kama hiki utakuta kanajitutumua kweli kweli kuhisi kwamba kanamtetea Yesu..

Ukija kuchunguza matendo yake ni zaidi ya kejeli anazofikiri zimefanyika na huyo Omondi.

Kama husomi biblia ni rahisi sana kumlaumu Omondi kwasababu huwezi kujua yesu alisulubiwa katikati ya wezi wawili.. Mwizi aliyesamehewa ndio huyo anayeigizwa na Omondi!
 
Back
Top Bottom