MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
1. Nakubaliana nawe kwamba sitamani kuona huyu mama Simba kama waziri but I have nothing i can do.
Dr Nchimbi Na Kamala Watoto Wa Professor Warioba Safi Sana Fikiraduni, Mbopo Na Kichuguu Wanaumia.
DR.Mwinyi na DR Nchimbi wizara ya ulinzi??hawa vijana wataweza kusimamia maswala ya majeshi yetu ya ulinzi na usalama??
Sitaki kuamini sasa hivi kwamba kuna jipya,Time will tell
Iachwe hapa hapa, kule niliwashinda sana na Mzumbe ikawa mabingwa.Hii mada inakoelekea mhhh... Nahisi mambo ya UDSM na Mzumbe yanarejea kimtindo. Can we put em into Baadhi ya Lecturers wa Mzumbe wana degree Feki - VC wao naye FEKI or UDSM Ndio Chanzo Cha Mfubao Wa Elimu Tz folks?
Thanking you,
Invisible
Safi Sana Fisadi Mramba Kuondoka.
Ila Magufuri Ilitakiwa Atoke. Hawa Wawili Mkapa Alimuachia Maagizo Jk Lazima Wawe Kwenye Baraza Lake 2006 Hawa Ndio Wachukuwa Rushwa Wa Mkapa. Mramba Asikishwe Mahakamani Na Mtandao Wake Wa Tra Uondolewe.
Malaya Wa Mkapa Rita Mlaki Ulikuwa Mzigo Nae Ahojiwe Katoa Wapi Pesa Za Ajabu?
Membe Nae Kwanini Amerudi? Hadi Atuumize Ndio Tumtoe? Jk Acha Kuwa Na Marafiki Wajinga.
Mary Nagu,mahanga Na Mathayo David(mtoto Wa Msuya Cleopa Wa Nje) Ilitakiwa Watolewe Kwa Kuwa Na Vyeti Feki Phd Zao.
Dr Nchimbi Na Kamala Watoto Wa Professor Warioba Safi Sana Fikiraduni, Mbopo Na Kichuguu Wanaumia.
Hivi uko mkoa tena uliopendelewa nafasi 8 kati ya hizi 47 kama baraza lililopita?
Research Council. Starting from the assumption that the Web has become one of the main sources to obtain information on academic and scientific activities, these rankings are based on several "webometrics" indicators: size, visibility, popularity and number of rich files. Click here to learn more on ranking methodology.
--------------------------------------------------------------------------------------------------^^^
The InternetLab Ranking of 30 Top African Universities
Rank University Country World Rank
1 University of Cape Town South Africa 398
2 Universiteit Stellenbosch South Africa 566
3 Universiteit van Pretoria - University of Pretoria South Africa 718
4 University of the Witwatersrand South Africa 720
5 Rhodes University South Africa 738
6 University of South Africa South Africa 1,449
7 University of the Western Cape South Africa 1,553
8 American University in Cairo Egypt 1,826
9 Noordwes Universiteit - North West University South Africa 1,857
10 University of KwaZulu-Natal South Africa 2,214
11 University of Johannesburg South Africa 2,323
12 University of the Free State South Africa 2,369
13 Université de La Reunion France 2,387
14 Nelson Mandela Metropolitan University South Africa 2,542
15 University of Dar Es Salam Tanzania 2,819
16 University of Zimbabwe Zimbabwe 3,072
17 Al Akhawayn University in Ifrane Morocco 3,174
18 Cape Technikon South Africa 3,414
19 University of Mauritius Mauritius 3,682
20 University of Zululand South Africa 3,724
Safi Sana Fisadi Mramba Kuondoka.
Ila Magufuri Ilitakiwa Atoke. Hawa Wawili Mkapa Alimuachia Maagizo Jk Lazima Wawe Kwenye Baraza Lake 2006 Hawa Ndio Wachukuwa Rushwa Wa Mkapa. Mramba Asikishwe Mahakamani Na Mtandao Wake Wa Tra Uondolewe.
Malaya Wa Mkapa Rita Mlaki Ulikuwa Mzigo Nae Ahojiwe Katoa Wapi Pesa Za Ajabu?
Membe Nae Kwanini Amerudi? Hadi Atuumize Ndio Tumtoe? Jk Acha Kuwa Na Marafiki Wajinga.
Mary Nagu,mahanga Na Mathayo David(mtoto Wa Msuya Cleopa Wa Nje) Ilitakiwa Watolewe Kwa Kuwa Na Vyeti Feki Phd Zao.
Dr Nchimbi Na Kamala Watoto Wa Professor Warioba Safi Sana Fikiraduni, Mbopo Na Kichuguu Wanaumia.
Nadhani hapa mnachanganya vitu viwili tofauti; ubora wa chuo kikuu cha Dar es Salaama na kiwango cha elimu ya juu kwa Watanzania.
Ukweli ni kuwa chuo kikuu cha Dar es Salaam ni chuo bora sana kuliko vyote katika eneo hili la Afrika ya Mashariki na ya kati. Kina waalimu wenye sifa na uwezo kwa viwango vya kimataifa na hata viwango vya mitaala yake ni vya kimataifa. Kuna vyuo vingi sana kwenye eneo letu hili vina waalimu wenye masters tu ambao hawawezi hata kujenga mada kwenye kongamano za kimataifa kwenye taaluma zao; kwa hiyo hawatambuliki kimataifa na hivyo kuathiri ubora wa chuo hata kama wanajua kufundisha mambo ya vitabuni.
Hata hivyo, lazima tukubali kuwa idadi ya watanzania wenye elimu ya juu kwa ubora huo wa UDSM siyo wengi sana. Kwa muda mrefu chuo kikuu cha Dar kilikuwa kinatoa wahitimu wapatao mia nane tu kwa mwaka, wakati majirani zetu walikuwa wakitoa wahitimu wapataio elfu tano kwa mwaka. Ukilinganisha wahitimu wa elimu ya juu na ubora wao kwa kila kaya, utaona kuwa Tanzania tunashika mkia katika eneo letu hili. Wataalam wetu wengi wamekuwa na digrii za kununua tu
Asante sana kwa maelezo mazuri. Wengine hapa naona wako kutukana na kutoa matusi kwa nchi yao bila kusifia hata vile vidogo vizuri tulivyonavyo.
Asante sana kwa maelezo mazuri. Wengine hapa naona wako kutukana na kutoa matusi kwa nchi yao bila kusifia hata vile vidogo vizuri tulivyonavyo.
Safi Sana Fisadi Mramba Kuondoka.
Ila Magufuri Ilitakiwa Atoke. Hawa Wawili Mkapa Alimuachia Maagizo Jk Lazima Wawe Kwenye Baraza Lake 2006 Hawa Ndio Wachukuwa Rushwa Wa Mkapa. Mramba Asikishwe Mahakamani Na Mtandao Wake Wa Tra Uondolewe.
Malaya Wa Mkapa Rita Mlaki Ulikuwa Mzigo Nae Ahojiwe Katoa Wapi Pesa Za Ajabu?
Membe Nae Kwanini Amerudi? Hadi Atuumize Ndio Tumtoe? Jk Acha Kuwa Na Marafiki Wajinga.
Mary Nagu,mahanga Na Mathayo David(mtoto Wa Msuya Cleopa Wa Nje) Ilitakiwa Watolewe Kwa Kuwa Na Vyeti Feki Phd Zao.
Dr Nchimbi Na Kamala Watoto Wa Professor Warioba Safi Sana Fikiraduni, Mbopo Na Kichuguu Wanaumia.
...toa data la sivyo stop misleading people kwa sababu unachoongea ni contrary na data zinazotumika kupima ubora wa elimu ya juu!
Huyu Mama mke wa mtu na adabu zake zote alikuwa akimvulia kaptula Rais mstaafu Ben Mkapa.
Halafu nikisema umalaya ni hatari kwa maendeleo ya taifa watu mnabisha na kwa uchungu mnataka hata kula nyembe mpya na sime za kimasai.
Umalaya wa viongozi wetu unatugharimu mamilioni.
Viongozi wetu wanatumia kuni zao vibaya matokeo yake wote tunabebeshwa gharama
Koba, unachobisha ni kipi hasa? Mfano mdogo ameshakupa YN, sasa unataka nini tena? Evidence is always both qualitatively and quantitatively attribiutable! Sisi tuliopo katika career hii ya elimu ya juu tunajua na wenzetu wakenya na waganda wanajua hivyo kwamba sisi kwenye mambo ya academics tupo juu. Na hapa sisi tunaongelea ubora wa elimu, sio wingi. Kwa wingi ni sawa wametuzidi kama vile ambavyo wametuzidi kila kitu katika wingi isipokuwa idadi ya watu. Ukiacha hiyo data aliyokupa YN, sisi tuna PhD holders wengi kuliko wao, tuna academic journals nyingi kuliko wao, tupo cited zaidi kwenye international journals kuliko wao, our standing in intenational academic fora ipo juu kuliko wao, tuna mitaala bora kuliko wao, you mention every aspect of quality higher education tunawazidi. Unapokuja kwenye academics kupata kazi katika international scientific organisations sisi tupo juu, ndio hao akina Tibaijuka, Mgongo, Lipumba et al wanatuwakilisha. Isipokuwa inapokuja kwenye kazi za kupitia mlango wa nyuma tupo nyuma kwa sababu watanzania sio kasumba yetu kutafuta vitu ambavyo hatuna sifa nazo. Sasa wewe umeng'ang'ania idadi ya mavyuo, wenzako wanapopima ubora wa vyuo hawahesabu idadi ya vyuo wanaangalia quality, na quality inapimwa kwa knowledge production and intellectual contribution-na hivi vitu vinaangaliwa kwa vigezo kama vya hapo juu.
Ni kweli watz tu wanyonge katika mambo kibao, lakini sio hili la ubora wa elimu ya juu, hili hapana. Pale tunapofanya vizuri kidogo tusisite kusema na kujipongeza. Waswahili wanasema "You cannot be inferior unless you feel that you are inferior"!
Kitila,
Kwa hali halisi Tz- tuangalie zaidi quality or quantity? Suppose you can not have both- je tuanze na kipi?
I am not overly excited, but I believe this is a good start.
1. Kwanza amewatoa Meghji na Mramba. Mramba amekuwa mzigo kwetu kwa miaka mingi sana. Meghji anahusika na sakata la BOT.
2. Wananchi wamelalamika sana kuhusu ukubwa wa serikali, na imepunguzwa kiasi.
3. Kwa kifupi mafisadi wengi wametolewa, na ninaamini Chenge yuko njiani. kama siyo buzwagi atashikwa tu kwenye maswala ya mkapa
Nadhani si halali kumtegemea Rais afanye mabadiliko yote ambayo kila mtu anataka. Lets give him the benefit of the doubt, na tuone itakuwaje. To start with ninategemea tatizo la maji litashughulikiwa sasa.
Naona watu wanalalamika tu as if kila alichokifanya ni kibaya, i think ni afadhali ku analyze mazuri na mabaya. Tusifie yale mazuri, then tuendelee ku criticize yale mabaya.
Sometimes i get the impression kwamba watu hawatakaa waridhike no matter kitu gani kinafanyika.