fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Taarifa hii haijajitosheleza maana Chama kina Kanda kumi iweje wewe unaweka matokeo ya kanda sita tu?
Tulia wewe chawaChama cha kikatili mno.
Mleta mada hujaconfirm habari kabla ya kupost??
Nadhani wanawake hawa wana nguvu fulani ya kuivuruga CHADEMA. Zitto mwenyewe peke yake alipoondoka CHADEMA amekuwa mwiba kwao, sasa kkweli iweni Mdee pamoja na timu yake kweli?
Nguvu ya mamba kumayi.Hawa wanawake nguvu waliokuwa nayo ilitokana na kuwa na platform ya CHADEMA; sasa hivi hawana platform, they are finished na kokote watakako kwenda watadharauliwa na kutoaminika!! Politically they are finished.
Asante kanda ya nyasaHatimaye baraza kuu la Chadema limewafukuza rasmi waliokuwa wabunge 19 wa viti maalumu .
Wajumbe wa Kamati kuu.
Idadi wajumbe 23
Wanaokubaliana na maamuzi ya Kamati kuu 23
Wanaopinga maamuzi 0.
Kanda ya Victoria (Wajumbe 44)
-Wanaokubalia wavuliwe uwanachama 42
-Wasiokubali 1
-Wasiofungamana na Upande wowote 1
NYASA
Wajumbe 57
Wanaosema wavuliwe uanachama ni 57
Wasivuliwe 0
Pemba.
1- wasifukuzwe uanachama
19-wafukuzwe
Wasiofungamana na upande 2
KANDA YA PWANI
1.Wafukuzwe 45
2.Wasifukuzwe 2
KUSINI
1.Wafukuzwe 32
2.Wasiokubalina 0
Kanda ya Serengeti
Wafukuzwe 41
Wabaki 0
KANDA YA KASKAZINI
1. Wafukuzwe 61
2. Wasifukuzwe 0
Kuna Moja hapo ni jirani yangu Dodoma🥴🥴🥴 Hela tamu,amekaoa Ka braza men ...mishen town ,Mario ,yeye wakati anahangaika Bungeni huko dogo asubuhi kishaingiza Malaya ananyandua tu!HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA
Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama
======
UPDATE:
View attachment 2221145
Halima Mdee: Kilichofanyika ni Uhuni, hata Mbowe (Freeman) mwenyewe anajua
John Mrema: Baada ya uamuzi wa Baraza Kuu, Katibu Mkuu ataandika barua kumuarifu Spika kuwa suala lao limehitimishwa; tutamwachia spika afanye uamuzi kama alivyosema anasubiri Rufaa zao
=======
Matokeo ni kama ifuatavyo;
Kanda ya Victoria (Wajumbe 44)
-Wanaokubalia wavuliwe uwanachama 42
-Wasiokubali 1
-Wasiofungamana na Upande wowote 1
Jumla kura 44
Kanda ya Nyasa (Wajumbe 57)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 57
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 57
Kanda ya Unguja (Wajumbe 22)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 19
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 1
Jumla ya Kura 22
Kanda ya Pemba 15
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 12
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 15
Kanda ya Kusini 32
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 32
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 32
Kanda ya Pwani 47
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 45
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 47
Kanda ya Kati 44
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 44
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 44
Kanda ya Serengeti Wajumbe 41
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 41
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 41
Kanda ya Magharib Wajumbe 37
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 37
Wasiokubali 0
Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 37
Kanda ya Kaskazini Wajumbe 61
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 61
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 61
Kura 352 zimekubaliana na Kamati Kuu na kura 5 ndo zimepingana na maamuzi ya Kamati Kuu
Natamani ningekuwa nimesoma hata hiyo habari kwa ujumlaElewa maneno "Rufaa yao imetupiliwa mbali" inamaana walifukuzwa wakakata rufaa na sasa imetupiliwa mbali
Baada ya hapo nini kinafuata?
Watamkuta Kibatala kwenye geti la Kisutu.Ni muda wa kwenda mahakamani sasa for unfair dismissal.
Chama kilisema hawazitaki hizo nafasi za viti maalum baada ya uchaguzi na zisingekuwepo baada ya mwaka mmoja kama hakina mdee wasingezichukua.
Iweje leo wabadili gear angani na kuzidai nafasi na ruzuku waliyoikataa wenyewe. Ni wazi maamuzi ya hakina Mdee kipindi kile yaliangalia mbele kwa sababu mwenyekiti kigeugeu na ana watu wake wa mfukoni tayari.
Asubuhi na mapema mahakama ya kazi kufungua kesi ya pingamizi bunge lisipokee majina mapya mpaka kesi yao iamuliwe mahakamani.
Huu ndio uonevu wa mfumo dume.
Mbowe Juzi ikulu alienda kufata nini?Msaliti haachiwi hata siku moja.
Lazima tuwe na taifa lenye watu wenye msimamo thabiti.
Usimtegemee mwanadamu hata siku moja. Muda huu tumaini lao lipo pale chato kwa chini.
HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA
Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama
======
UPDATE:
View attachment 2221145
Halima Mdee: Kilichofanyika ni Uhuni, hata Mbowe (Freeman) mwenyewe anajua
John Mrema: Baada ya uamuzi wa Baraza Kuu, Katibu Mkuu ataandika barua kumuarifu Spika kuwa suala lao limehitimishwa; tutamwachia spika afanye uamuzi kama alivyosema anasubiri Rufaa zao
=======
Matokeo ni kama ifuatavyo;
Kanda ya Victoria (Wajumbe 44)
-Wanaokubalia wavuliwe uwanachama 42
-Wasiokubali 1
-Wasiofungamana na Upande wowote 1
Jumla kura 44
Kanda ya Nyasa (Wajumbe 57)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 57
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 57
Kanda ya Unguja (Wajumbe 22)
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 19
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 1
Jumla ya Kura 22
Kanda ya Pemba 15
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 12
-Wasiokubali 1
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 15
Kanda ya Kusini 32
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 32
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 32
Kanda ya Pwani 47
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 45
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 2
Jumla ya Kura 47
Kanda ya Kati 44
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 44
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 44
Kanda ya Serengeti Wajumbe 41
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 41
-Wasiokubalina 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 41
Kanda ya Magharib Wajumbe 37
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 37
Wasiokubali 0
Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 37
Kanda ya Kaskazini Wajumbe 61
-Wanaokubali wavuliwe uanachama 61
-Wasiokubali 0
-Wasifungamana na Upande wowote 0
Jumla ya Kura 61
Kura 352 zimekubaliana na Kamati Kuu na kura 5 ndo zimepingana na maamuzi ya Kamati Kuu
Swali zuri sanaMkuu, unaweza kunieleza kufukuzwa kwa hao wanachama kuna faida gani kwa chadema?
Isipokua mboweFaida ya kwanza ni kuonekana ni chama kinachosimamia katiba na itikadi zao ukizikiuka hata kama ni Tundu Lissu unafukuzwa!
Mzee Mdee na wenzake kuna mahala wameandaliwa ngoja uone wanakoenda
Wanafata sheria, wasipofanya hivyo maana ake hawaheshimu democrasia na miiko ya Chama. Kila sehemu Kuna taratibu na zikivunjwa Kuna adhabu zakeSwali zuri sana
Mbona mbowe alienda ikulu kuongea na raisi wasiemtambua? Hapa misimamo ya chama haijakiukwa?Wanafata sheria, wasipofanya hivyo maana ake hawaheshimu democrasia na miiko ya Chama. Kila sehemu Kuna taratibu na zikivunjwa Kuna adhabu zake
Nitashangaa wakikaribishwa tena bungeni
Kumbe walikuwa hawajafukuzwa?!
Hiyo taarifa ya kwamba chadema wamebadili gear na kuzitaka nafasi na ruzuku umezitoa wapi?. Chama kimewafukuza uanachama sio ubunge elewa vizuri hapo. Swala kufukuzwa ubunge sio jukumu la chadema ni Katiba.Ni muda wa kwenda mahakamani sasa for unfair dismissal.
Chama kilisema hawazitaki hizo nafasi za viti maalum baada ya uchaguzi na zisingekuwepo baada ya mwaka mmoja kama hakina mdee wasingezichukua.
Iweje leo wabadili gear angani na kuzidai nafasi na ruzuku waliyoikataa wenyewe. Ni wazi maamuzi ya hakina Mdee kipindi kile yaliangalia mbele kwa sababu mwenyekiti kigeugeu na ana watu wake wa mfukoni tayari.
Asubuhi na mapema mahakama ya kazi kufungua kesi ya pingamizi bunge lisipokee majina mapya mpaka kesi yao iamuliwe mahakamani.
Huu ndio uonevu wa mfumo dume.
Kwani huko chadema mnashinda mnafukuza hao wamama marangapii?? Simlishawafukuza mda mrefuuu??