Uchaguzi 2020 Baraza la Maaskofu Katoliki wamesisitiza amani na uadilifu vizingatiwe kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika kesho

Askofu wangu ni Bangoza, Sheikh wangu ni Ponda, hao wengine ni ma askofu na ma sheikh cartoons
 

Hawa maaskofu ni very useless..

Hivi tunasema HAKI na AMANI au..

Tunasema AMANI na UADILIFU au..

Tunasema HAKI, UADILIFU na AMANI?

Ni kwanini neno "HAKI" kabla ya kutamka "AMANI" linakuwa gumu sana kutamkwa midomoni mwa hawa wanaojiita viongozi wa dini?

Lazima watambue kuwa, popote pasipo na HAKI hakuna AMANI..

Kama hawawaambii watawala ambao kwa vyovyote vile hawa ni washirika wao, basi watambue kuwa hakuna popote duniani ambapo AMANI imewahi ku - prevail bila kwanza HAKI na UADILIFU kutangulia..

AMANI ni TUNDA la HAKI..
 
Wakristo sisi wanafiki sana huwa naona bora ndugu zetu waislam wana kauafadhari
 
TEC n bakwata iliyochangamka,washenzi wakubwa nyie sitotoa mchango wangu wowote kanisani,dini ya kweli na haki n kuwajali wahitaji na watu mbalimbali wenye shida mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…