Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wazembe wapo; ila unapowasilisha mada/tuhuma unatakiwa usifungamane na upande wowote.Watu humu JF ni matahila Sana, yaani mtu akileta Jambo fulani ambalo kwa maslai ya Taifa, mnamuita mfitini,
Yaani mfano Mimi nna Jambo zito kwenye taasisi moja ya Nchi juu ya mtu fulani, lakini kamwe siwezi kulileta humu kwa matahila , yaani humu hata ukileta habari juu ya uzembe wa mtu fulani wa nafasi fulani, mizezeta itakuambia majungu tu hayo!
We shida yako watu watoe comments nzuri au tatizo lifike sehemu husika na lipate suluhisho? Tafakari kwanza.Watu humu JF ni matahila Sana, yaani mtu akileta Jambo fulani ambalo kwa maslai ya Taifa, mnamuita mfitini,
Yaani mfano Mimi nna Jambo zito kwenye taasisi moja ya Nchi juu ya mtu fulani, lakini kamwe siwezi kulileta humu kwa matahila , yaani humu hata ukileta habari juu ya uzembe wa mtu fulani wa nafasi fulani, mizezeta itakuambia majungu tu hayo!
CCM kina wenyewe mkuu.Ni Dr Omary au Dr Magogo?
Je sio kwamba mnawaua wagonjwa ili Huyo Dr aonekane hafai?
Inawezekana ili kufidia gharama za uendeshajiNasikia bei ya matibabu kwenye hii hospitali yako juu sana ni kwel ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Post inaweza kuwa muhimu ila umeiweka kama mgogoro wa kiutawala kwa kuchanganya mambo yasiyohusu hosipitali labda tu kama wagonjwa walikuwa wanalazwa kwenye hiyo hoteli ya kitalii ya Corridor.Hospital ya Selian Arusha(ALMC) ni hatari kwa maisha ya binadamu!
Hospital ya Selian Arusha ALMC Pamoja na Dayosisi ya Arusha Mjini imeingia kwenye kashfa nzito.Kwa muda mrefu Dayosisi hii inayoongozwa na Baba Askofu Masangwa imeshindwa kusimamia miradi mbalimbali ya Dayosisi,miaka kadhaa nyuma ilishindwa kusimamia ikiwepo hotel ya kitalii ya corridor hali iliyopelekea waumini kuchangishwa ili kulipa deni walilokuwa wanadaiwa na CRDB
Kwa sasa matatizo ya Dayosisi hii yamegeuka maumivu na vilio kwa watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.Lengo la andiko hili ni kutoa tahadhari kwa watu wote kuhusu Hospitali ya Selian(ALMC).Kutokana na maswala ya ukabila na kutojitambua hospital hii chini ya Mkurugenzi wake Bwana Elisha Twisa ambaye aliteuliwa baaada ya Dr Kisanga ambaye alikuwa ameandaliwa muda mrefu kufanyiwa fitina na kuondolewa kienyeji,Bwana Elisha Twisa ameajiri Dr wa operesheni wa mishipa(Neurosurgeon) ambae hana utalaam huo wa kufanya operesheni,tangu January mwaka 2022 wagonjwa watatu waliofikishwa hospitalini hapa wamefariki Dunia kutokana na uzembe wa Dr huyu anayeitwa Dr Juma Magogo
Dr Juma Magogo aliajiriwa kutoka hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako hadi leo hajaacha kazi.Aliomba likizo ya miezi mitatu ambayo imeisha.Akiwa muhimbili hakuwahi kuruhusiwa kufanya operesheni kwa kuwa elimu yake aliyoipata huko China imetiliwa mashaka makubwa.Alienda China kusomea na katika mazingira ya ajabu akarudi na vyeti vya super specialist wakati hajafanya general surgery hii ilitia mashaka wataalamu wa Muhimbili,lakini katika hali ya kustaajabisha Bwana Elisha Twisa Mkurugenzi wa Selian akiwa amejulishwa na Muhimbili kuwa huyu Dr Juma Magogo hajakidhi vigezo bado aliamua kumuajiri bila hata kufuata taratibu za ajira.
Dr Juma Magogo alisoma chuo cha Xiangya China mwaka 2013 ambako alitunukiwa kuwa Super Specialist wakati hakuwahi kuwa general surgeon,andiko lake pekee 1. Surviving the largest atypical parasagittal meningioma in a two-year-old child: a case report and a brief review of the literature; DOI: Redirecting, 3. Surviving penetrating brainstem injury by bamboo sticks; Rare cas
Matokeo ya uamuzi wa ovyo wa CEO wa Selian ni kupoteza maisha ya watu watatu kwa uzembe! Itakumbukwa kuwa CEO aliyekuwepo Dr Kisanga aliondolewa kwa hila na sababu za Ukabila.Ni wazi kuwa ALMC ni hatari kwa maisha ya binadamu kutokana na uzembe wa CEO Mpya Bwana Elisha Twisa
Natoa wito
1.Serikali kuanza uchunguzi mara moja wa uendeshaji wa Selian (ALMC) ili iokoe maisha ya watu,Wizara ya afya chukueni hatua
2.Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary
3.Takukuru chunguzeni kuhusu namna MCT walivompa leseni Dr Omari ambaye hana vigezo
4.Takukuru ichunguze Dayosisi jinsi ilivomwajiri CEO ambaye amegharimu maisha ya watu
5.Huduma za afya ambazo Selian inazitoa zichunguzwe na Wizara kama zinakidhi vigezo
6.Serikali na vyombo husika vichunguze uhalali wa Likizo ambayo mtumishi tayari ameshaajiriwa Sekta binafsi lakini bado anaendelea kulipwa na Serikali
Hapana labda mleta mada aifanyie marekebisho, aondoe shutuma za majina, hoteli na kuchangishwa waumini kulipa deni la hoteli.Moderetor naomba huu uzi ukae juu ni kwa faida yetu sote!
Kafukuzwa kazi huyo ndiyo maana anaponda bila sababu, kwani wagonjwa lazima wakatibiwe Seliani?Una hasira mno hadi napata mashaka na hii habari.
Kwanza kichwa cha habari kifanyiwe marekebisho.
Huyo amefukuzwa kaziHapana labda mleta mada aifanyie marekebisho, aondoe shutuma za majina, hoteli na kuchangishwa waumini kulipa deni la hoteli.
Kuajiriwa muhimbili ni sawa kwakuwa madaktari wengi wanafanyaga part time tofauti na ajira ya kudumu serikakini. Ujue muhimbili huyu ni daktari wao wa kudumu lakini selian ni ya MTU binafsi hivyo akiajiriwa temporary au partime ni sawa . soma sheria za ajira vizuri ujue mshahara wake unatoka serikalini kwenye hospitality ngapi . kama analipwa na serikali Mara mbili ni kisa,ila kwa hoja yako yupo sahihi. Acha fitinaHospital ya Selian Arusha(ALMC) ni hatari kwa maisha ya binadamu!
Hospital ya Selian Arusha ALMC Pamoja na Dayosisi ya Arusha Mjini imeingia kwenye kashfa nzito.Kwa muda mrefu Dayosisi hii inayoongozwa na Baba Askofu Masangwa imeshindwa kusimamia miradi mbalimbali ya Dayosisi,miaka kadhaa nyuma ilishindwa kusimamia ikiwepo hotel ya kitalii ya corridor hali iliyopelekea waumini kuchangishwa ili kulipa deni walilokuwa wanadaiwa na CRDB
Kwa sasa matatizo ya Dayosisi hii yamegeuka maumivu na vilio kwa watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.Lengo la andiko hili ni kutoa tahadhari kwa watu wote kuhusu Hospitali ya Selian(ALMC).Kutokana na maswala ya ukabila na kutojitambua hospital hii chini ya Mkurugenzi wake Bwana Elisha Twisa ambaye aliteuliwa baaada ya Dr Kisanga ambaye alikuwa ameandaliwa muda mrefu kufanyiwa fitina na kuondolewa kienyeji,Bwana Elisha Twisa ameajiri Dr wa operesheni wa mishipa(Neurosurgeon) ambae hana utalaam huo wa kufanya operesheni,tangu January mwaka 2022 wagonjwa watatu waliofikishwa hospitalini hapa wamefariki Dunia kutokana na uzembe wa Dr huyu anayeitwa Dr Juma Magogo
Dr Juma Magogo aliajiriwa kutoka hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako hadi leo hajaacha kazi.Aliomba likizo ya miezi mitatu ambayo imeisha.Akiwa muhimbili hakuwahi kuruhusiwa kufanya operesheni kwa kuwa elimu yake aliyoipata huko China imetiliwa mashaka makubwa.Alienda China kusomea na katika mazingira ya ajabu akarudi na vyeti vya super specialist wakati hajafanya general surgery hii ilitia mashaka wataalamu wa Muhimbili,lakini katika hali ya kustaajabisha Bwana Elisha Twisa Mkurugenzi wa Selian akiwa amejulishwa na Muhimbili kuwa huyu Dr Juma Magogo hajakidhi vigezo bado aliamua kumuajiri bila hata kufuata taratibu za ajira.
Dr Juma Magogo alisoma chuo cha Xiangya China mwaka 2013 ambako alitunukiwa kuwa Super Specialist wakati hakuwahi kuwa general surgeon,andiko lake pekee 1. Surviving the largest atypical parasagittal meningioma in a two-year-old child: a case report and a brief review of the literature; DOI: Redirecting, 3. Surviving penetrating brainstem injury by bamboo sticks; Rare cas
Matokeo ya uamuzi wa ovyo wa CEO wa Selian ni kupoteza maisha ya watu watatu kwa uzembe! Itakumbukwa kuwa CEO aliyekuwepo Dr Kisanga aliondolewa kwa hila na sababu za Ukabila.Ni wazi kuwa ALMC ni hatari kwa maisha ya binadamu kutokana na uzembe wa CEO Mpya Bwana Elisha Twisa
Natoa wito
1.Serikali kuanza uchunguzi mara moja wa uendeshaji wa Selian (ALMC) ili iokoe maisha ya watu,Wizara ya afya chukueni hatua
2.Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary
3.Takukuru chunguzeni kuhusu namna MCT walivompa leseni Dr Omari ambaye hana vigezo
4.Takukuru ichunguze Dayosisi jinsi ilivomwajiri CEO ambaye amegharimu maisha ya watu
5.Huduma za afya ambazo Selian inazitoa zichunguzwe na Wizara kama zinakidhi vigezo
6.Serikali na vyombo husika vichunguze uhalali wa Likizo ambayo mtumishi tayari ameshaajiriwa Sekta binafsi lakini bado anaendelea kulipwa na Serikali
- Kuna chuki ya madaraka hapa; muhimu tujifunze kujiajiri
- Mada yako ilitakiwa ijikite; uchunguzi ufanyike, kubaini vyanzo vya vifo hivyo kama vilisababishwa na uzembe au kwa kutokujua kazi. Inawezekana wapo waliotibiwa wakapona pia.
Pumbavu! Tapeli mkubwa wee!Moderetor naomba huu uzi ukae juu ni kwa faida yetu sote!
nimesoma andiko lake lina chuki ndani yake na ni mtu wa chini kwa anayemtuhumuKafukuzwa kazi huyo ndiyo maana anaponda bila sababu, kwani wagonjwa lazima wakatibiwe Seliani?
Leta na vielelezo siyo kutoa hadithi za esopo watu wakuchekee! Angeleta ushahidi wa Muhimbili kumzuia watu wangejadili.Watu humu JF ni matahila Sana, yaani mtu akileta Jambo fulani ambalo kwa maslai ya Taifa, mnamuita mfitini,
Yaani mfano Mimi nna Jambo zito kwenye taasisi moja ya Nchi juu ya mtu fulani, lakini kamwe siwezi kulileta humu kwa matahila , yaani humu hata ukileta habari juu ya uzembe wa mtu fulani wa nafasi fulani, mizezeta itakuambia majungu tu hayo!
Tatizo la Seliani ni kuwaondoa wazungu waliokuwepo kwenye management.Inawezekana hao waliopona wamepona kww uzembe pia (just a joke anyway)
Ila ukweli ni ukweli ni kuwa hiyo hospitali ina gharama za bei juu sana, lakini huduma ni za kiwango duni mno. Wana jengo la kisasa lakini huduma ni za kiwango cha chini. Mimi ni shuhuda wa hili kwa baba yangu mzazi kutibiwa hapo, hadi niliamua kumuhamishia KCMC hospitali. Siwashauri watu kupeleka wagonjwa wao hapo, kwanza kabisa ni kwa huduma duni, na gharama kubwa zisizowiana na ubora wa matibabu.