Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary wa Hospitali ya Selian Arusha ALMC

Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary wa Hospitali ya Selian Arusha ALMC

Kuna Dr mmoja hapo kwenu celian alikuwa. Anachepuka na mchumba wa rfk wangu bado yupo

Na kesi hyo naifahamu vzr mkicheza. Naweka picha hapan niwaoneshe walimwengu jins dkt anavyokula mademu zetu kimasiara siara [emoji1787][emoji1787]
 
Hospital ya Selian Arusha(ALMC) ni hatari kwa maisha ya binadamu!

Hospital ya Selian Arusha ALMC Pamoja na Dayosisi ya Arusha Mjini imeingia kwenye kashfa nzito.Kwa muda mrefu Dayosisi hii inayoongozwa na Baba Askofu Masangwa imeshindwa kusimamia miradi mbalimbali ya Dayosisi,miaka kadhaa nyuma ilishindwa kusimamia ikiwepo hotel ya kitalii ya corridor hali iliyopelekea waumini kuchangishwa ili kulipa deni walilokuwa wanadaiwa na CRDB

Kwa sasa matatizo ya Dayosisi hii yamegeuka maumivu na vilio kwa watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.Lengo la andiko hili ni kutoa tahadhari kwa watu wote kuhusu Hospitali ya Selian(ALMC).Kutokana na maswala ya ukabila na kutojitambua hospital hii chini ya Mkurugenzi wake Bwana Elisha Twisa ambaye aliteuliwa baaada ya Dr Kisanga ambaye alikuwa ameandaliwa muda mrefu kufanyiwa fitina na kuondolewa kienyeji,Bwana Elisha Twisa ameajiri Dr wa operesheni wa mishipa(Neurosurgeon) ambae hana utalaam huo wa kufanya operesheni,tangu January mwaka 2022 wagonjwa watatu waliofikishwa hospitalini hapa wamefariki Dunia kutokana na uzembe wa Dr huyu anayeitwa Dr Juma Magogo

Dr Juma Magogo aliajiriwa kutoka hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako hadi leo hajaacha kazi.Aliomba likizo ya miezi mitatu ambayo imeisha.Akiwa muhimbili hakuwahi kuruhusiwa kufanya operesheni kwa kuwa elimu yake aliyoipata huko China imetiliwa mashaka makubwa.Alienda China kusomea na katika mazingira ya ajabu akarudi na vyeti vya super specialist wakati hajafanya general surgery hii ilitia mashaka wataalamu wa Muhimbili,lakini katika hali ya kustaajabisha Bwana Elisha Twisa Mkurugenzi wa Selian akiwa amejulishwa na Muhimbili kuwa huyu Dr Juma Magogo hajakidhi vigezo bado aliamua kumuajiri bila hata kufuata taratibu za ajira.

Dr Juma Magogo alisoma chuo cha Xiangya China mwaka 2013 ambako alitunukiwa kuwa Super Specialist wakati hakuwahi kuwa general surgeon,andiko lake pekee 1. Surviving the largest atypical parasagittal meningioma in a two-year-old child: a case report and a brief review of the literature; DOI: Redirecting, 3. Surviving penetrating brainstem injury by bamboo sticks; Rare cas


Matokeo ya uamuzi wa ovyo wa CEO wa Selian ni kupoteza maisha ya watu watatu kwa uzembe! Itakumbukwa kuwa CEO aliyekuwepo Dr Kisanga aliondolewa kwa hila na sababu za Ukabila.Ni wazi kuwa ALMC ni hatari kwa maisha ya binadamu kutokana na uzembe wa CEO Mpya Bwana Elisha Twisa

Natoa wito

1.Serikali kuanza uchunguzi mara moja wa uendeshaji wa Selian (ALMC) ili iokoe maisha ya watu,Wizara ya afya chukueni hatua

2.Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary

3.Takukuru chunguzeni kuhusu namna MCT walivompa leseni Dr Omari ambaye hana vigezo

4.Takukuru ichunguze Dayosisi jinsi ilivomwajiri CEO ambaye amegharimu maisha ya watu

5.Huduma za afya ambazo Selian inazitoa zichunguzwe na Wizara kama zinakidhi vigezo

6.Serikali na vyombo husika vichunguze uhalali wa Likizo ambayo mtumishi tayari ameshaajiriwa Sekta binafsi lakini bado anaendelea kulipwa na Serikali
Tatizo lako choyo na kutokuelwa dunia inaenda wapi na ujinga wa kutaka kujifunza.. Neurosurgery unatolewa kama Master of Medicine(Mmed) karibu nchi karibia zote duniani bila ya kusoma General surgery.. Lakini tu huwa unafanya rotation kwenye general surgery kuanzia miezi 6 .. System ya Master of Science ni ya ki zamani na imeshapitwa na wakati.
Majungu kama haya yalikuwepo pale muhimbili miaka ya 2005 na kuendelea baada ya vyuo vya Tanzania kuanza kutoa Master ya Orthopedic, Opthalmology na ENT bila ya kusoma general surgery. Lakini mwisho wa siku walishindwa na hivi sasa wao wenyewe wanatowa kozi hizo.
Dogo pole sana. Kama mtu ameshakubaliwa mpaka na MCT .. Wewe kikaragosi naona unapotez muda, ratufa sehemu nyengine upambane. Hahahahaaa
 
Gharama zinaanzia kumuona dakitari inaweza kuwa shs 70,000/= tiba na malazi nazo zinatofautiana, baadhi malazi 30,000/= , hosipitali za serikali kumuona dakitari kama utafanikiwa ni bure.

70,000 kumuona daktari kwa huduma gani bora walizonazo?
 
Gharama zinaanzia kumuona dakitari inaweza kuwa shs 70,000/= tiba na malazi nazo zinatofautiana, baadhi malazi 30,000/= , hosipitali za serikali kumuona dakitari kama utafanikiwa ni bure.
una hakika na unachoandika mkuu?
 
Selian ni jengo tuu na mlo, ila kwa matibabu ni zero.
Wazungu waliondoka baada ya kugundua dawa zinazo letwa jwa msaada zilikuwa zina uzwa ghalu sana kwa wagonjwa badala ya msaada.
Dayosisi ya Kaskazini kati ni wabaguzi mno.. Wana taka kila kutu kifanywe na Waarusha na Wamassai. Wana shindwa kuelewa kwamba waumini wa KKKT kwenye dayosisi ni makabila zaudi ya hayo.
 
labda hyo namba 5 …

ila hizo sababu zingine zote ni fitna tu

japo hyo hsp ilishakuwa ya hovyo kitambo sana
 
Tulimpeleka ndugu yangu alikuwa na malaria kali, alilazwa kwa siku bili sio chini ya elfu 80 na alikaa wiki moja.

Na hawaruhusu upeleke chakula labda umpelekee maji tu, tena ya kilimanjaro[emoji16].

Mungu atusaidie tusiugue magonjwa makubwa.
 
Hivi Dr. Kisanga ameondolewa?
Huyu ni bingwa bora upasuaji duuh
 
Hospitali kongwe ya Seliani ni iliyoko maeneo ya ngaramtoni. Ile ya pale mjini sio kongwe. Haina huduma bora bali ina majengo ya kisasa. Huenda hilo la kuondoa wazungu likawa na ukweli, lakini as how it stand ni hospitali yenye huduma duni na gharama kubwa ya matibabu isiyostahili.
Be blessed
 
Nadhani wewe ni Dkt utakuwa umeondolewa hapo ajira imekoma hivyo umeamua kuchafua hospitali pamoja na kanisa, kwa andiko lako hapo kuna ukabila gani? inamaana kusoma China ni dhambi? rubbish
Nakubaliana nawe hawa ndiyo wale wanaharibu taswira za taasisi Kwa sababu za ubinafsi, mtu unakuta mzembemzembe tu, hayuko competent anataka wengine wawe kama yeye!

Hii shida kubwa Kwa watanzania uvivu na majungu!
 
Hospital ya Selian Arusha ALMC Pamoja na Dayosisi ya Arusha Mjini imeingia kwenye kashfa nzito.Kwa muda mrefu Dayosisi hii inayoongozwa na Baba Askofu Masangwa imeshindwa kusimamia miradi mbalimbali ya Dayosisi,miaka kadhaa nyuma ilishindwa kusimamia ikiwepo hotel ya kitalii ya corridor hali iliyopelekea waumini kuchangishwa ili kulipa deni walilokuwa wanadaiwa na CRDB

Kwa sasa matatizo ya Dayosisi hii yamegeuka maumivu na vilio kwa watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.Lengo la andiko hili ni kutoa tahadhari kwa watu wote kuhusu Hospitali ya Selian(ALMC).Kutokana na maswala ya ukabila na kutojitambua hospital hii chini ya Mkurugenzi wake Bwana Elisha Twisa ambaye aliteuliwa baaada ya Dr Kisanga ambaye alikuwa ameandaliwa muda mrefu kufanyiwa fitina na kuondolewa kienyeji,Bwana Elisha Twisa ameajiri Dr wa operesheni wa mishipa(Neurosurgeon) ambae hana utalaam huo wa kufanya operesheni,tangu January mwaka 2022 wagonjwa watatu waliofikishwa hospitalini hapa wamefariki Dunia kutokana na uzembe wa Dr huyu anayeitwa Dr Juma Magogo

Dr Juma Magogo aliajiriwa kutoka hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako hadi leo hajaacha kazi.Aliomba likizo ya miezi mitatu ambayo imeisha.Akiwa muhimbili hakuwahi kuruhusiwa kufanya operesheni kwa kuwa elimu yake aliyoipata huko China imetiliwa mashaka makubwa.Alienda China kusomea na katika mazingira ya ajabu akarudi na vyeti vya super specialist wakati hajafanya general surgery hii ilitia mashaka wataalamu wa Muhimbili,lakini katika hali ya kustaajabisha Bwana Elisha Twisa Mkurugenzi wa Selian akiwa amejulishwa na Muhimbili kuwa huyu Dr Juma Magogo hajakidhi vigezo bado aliamua kumuajiri bila hata kufuata taratibu za ajira.

Dr Juma Magogo alisoma chuo cha Xiangya China mwaka 2013 ambako alitunukiwa kuwa Super Specialist wakati hakuwahi kuwa general surgeon,andiko lake pekee 1. Surviving the largest atypical parasagittal meningioma in a two-year-old child: a case report and a brief review of the literature; DOI: Redirecting, 3. Surviving penetrating brainstem injury by bamboo sticks; Rare cas



Matokeo ya uamuzi wa ovyo wa CEO wa Selian ni kupoteza maisha ya watu watatu kwa uzembe! Itakumbukwa kuwa CEO aliyekuwepo Dr Kisanga aliondolewa kwa hila na sababu za Ukabila.Ni wazi kuwa ALMC ni hatari kwa maisha ya binadamu kutokana na uzembe wa CEO Mpya Bwana Elisha Twisa

Natoa wito

1.Serikali kuanza uchunguzi mara moja wa uendeshaji wa Selian (ALMC) ili iokoe maisha ya watu,Wizara ya afya chukueni hatua

2.Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary

3.Takukuru chunguzeni kuhusu namna MCT walivompa leseni Dr Omari ambaye hana vigezo

4.Takukuru ichunguze Dayosisi jinsi ilivomwajiri CEO ambaye amegharimu maisha ya watu

5.Huduma za afya ambazo Selian inazitoa zichunguzwe na Wizara kama zinakidhi vigezo

6.Serikali na vyombo husika vichunguze uhalali wa Likizo ambayo mtumishi tayari ameshaajiriwa Sekta binafsi lakini bado anaendelea kulipwa na Serikali
Kiongozi unaoomba wamchunguze daktari, nao wataka wachunguzwe na TAKUKURU 🤔
 
Watu humu JF ni matahila Sana, yaani mtu akileta Jambo fulani ambalo kwa maslai ya Taifa, mnamuita mfitini,

Yaani mfano Mimi nna Jambo zito kwenye taasisi moja ya Nchi juu ya mtu fulani, lakini kamwe siwezi kulileta humu kwa matahila , yaani humu hata ukileta habari juu ya uzembe wa mtu fulani wa nafasi fulani, mizezeta itakuambia majungu tu hayo!
Hata mimi huwa nashangaa! Yaani hii nchi kuendelea ni ngumu sana.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Watu humu JF ni matahila Sana, yaani mtu akileta Jambo fulani ambalo kwa maslai ya Taifa, mnamuita mfitini,

Yaani mfano Mimi nna Jambo zito kwenye taasisi moja ya Nchi juu ya mtu fulani, lakini kamwe siwezi kulileta humu kwa matahila , yaani humu hata ukileta habari juu ya uzembe wa mtu fulani wa nafasi fulani, mizezeta itakuambia majungu tu hayo!
Taahira ni wewe, kwani umeshindwa nini kupeleka malalamiko yako kwa channel zinazoweza kuwawajibisha ? Kama sio majungu tusemeje sasa?
 
Back
Top Bottom