Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary wa Hospitali ya Selian Arusha ALMC

Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary wa Hospitali ya Selian Arusha ALMC

Hospital ya Selian Arusha(ALMC) ni hatari kwa maisha ya binadamu!

Hospital ya Selian Arusha ALMC Pamoja na Dayosisi ya Arusha Mjini imeingia kwenye kashfa nzito.Kwa muda mrefu Dayosisi hii inayoongozwa na Baba Askofu Masangwa imeshindwa kusimamia miradi mbalimbali ya Dayosisi,miaka kadhaa nyuma ilishindwa kusimamia ikiwepo hotel ya kitalii ya corridor hali iliyopelekea waumini kuchangishwa ili kulipa deni walilokuwa wanadaiwa na CRDB

Kwa sasa matatizo ya Dayosisi hii yamegeuka maumivu na vilio kwa watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.Lengo la andiko hili ni kutoa tahadhari kwa watu wote kuhusu Hospitali ya Selian(ALMC).Kutokana na maswala ya ukabila na kutojitambua hospital hii chini ya Mkurugenzi wake Bwana Elisha Twisa ambaye aliteuliwa baaada ya Dr Kisanga ambaye alikuwa ameandaliwa muda mrefu kufanyiwa fitina na kuondolewa kienyeji,Bwana Elisha Twisa ameajiri Dr wa operesheni wa mishipa(Neurosurgeon) ambae hana utalaam huo wa kufanya operesheni,tangu January mwaka 2022 wagonjwa watatu waliofikishwa hospitalini hapa wamefariki Dunia kutokana na uzembe wa Dr huyu anayeitwa Dr Juma Magogo

Dr Juma Magogo aliajiriwa kutoka hospital ya Taifa ya Muhimbili ambako hadi leo hajaacha kazi.Aliomba likizo ya miezi mitatu ambayo imeisha.Akiwa muhimbili hakuwahi kuruhusiwa kufanya operesheni kwa kuwa elimu yake aliyoipata huko China imetiliwa mashaka makubwa.Alienda China kusomea na katika mazingira ya ajabu akarudi na vyeti vya super specialist wakati hajafanya general surgery hii ilitia mashaka wataalamu wa Muhimbili,lakini katika hali ya kustaajabisha Bwana Elisha Twisa Mkurugenzi wa Selian akiwa amejulishwa na Muhimbili kuwa huyu Dr Juma Magogo hajakidhi vigezo bado aliamua kumuajiri bila hata kufuata taratibu za ajira.

Dr Juma Magogo alisoma chuo cha Xiangya China mwaka 2013 ambako alitunukiwa kuwa Super Specialist wakati hakuwahi kuwa general surgeon,andiko lake pekee 1. Surviving the largest atypical parasagittal meningioma in a two-year-old child: a case report and a brief review of the literature; DOI: Redirecting, 3. Surviving penetrating brainstem injury by bamboo sticks; Rare cas


Matokeo ya uamuzi wa ovyo wa CEO wa Selian ni kupoteza maisha ya watu watatu kwa uzembe! Itakumbukwa kuwa CEO aliyekuwepo Dr Kisanga aliondolewa kwa hila na sababu za Ukabila.Ni wazi kuwa ALMC ni hatari kwa maisha ya binadamu kutokana na uzembe wa CEO Mpya Bwana Elisha Twisa

Natoa wito

1.Serikali kuanza uchunguzi mara moja wa uendeshaji wa Selian (ALMC) ili iokoe maisha ya watu,Wizara ya afya chukueni hatua

2.Baraza la Madaktari Tanzania(MCT) limchunguze Dr Omary

3.Takukuru chunguzeni kuhusu namna MCT walivompa leseni Dr Omari ambaye hana vigezo

4.Takukuru ichunguze Dayosisi jinsi ilivomwajiri CEO ambaye amegharimu maisha ya watu

5.Huduma za afya ambazo Selian inazitoa zichunguzwe na Wizara kama zinakidhi vigezo

6.Serikali na vyombo husika vichunguze uhalali wa Likizo ambayo mtumishi tayari ameshaajiriwa Sekta binafsi lakini bado anaendelea kulipwa na Serikali
Mambo yanabadilika ,zamani urologist ( watu wa njia ya mkono) ilikua lazima FANYA Emmed ya surgery KWa Sasa hakuna na wanafanya vizuri tu, swala hapa sio surgery (mmed) KWANZA bali exposure WENDA ikawa imechambua kutokua vizuri
 
Naona kama huu ni ugomvi binafsi ila umeamua kugeneralize hospital nzima,Thread nzima umetaja watu wawili hasa hasa nadhani ugomvi wako upo na bwana Magogo,mtakua mmezinguana mahali.

Hili ni swala binafsi sababu ulizotaja sioni kama zinaweza ibebesha sifa mbaya hospitali nzima,japo unaweza kuwa na point kadhaa ila si kwa ujumla kuwa Selian ni Hatari,Hapana.

Sema tu Magogo ndio hatari na wala sio seliani,habari nyingine nyingine wewe huzijui nadhani ungeacha tu hvyo hvyo mambo ya madeni mambo gani sijui hizo zote ni "hear say" nikikwambia u prove utaanza sema "mbona kama ni hivyo n hivi"

Acha hizo Mkuu,Seliani ni nzuri na kama n madhaifu kila hospitali ina madhaifu yake,Dar mwananyamala ishaitwa majina yote ile hospitali, BOCHI ndio usiseme ukipeleka mgonjwa pale haruki, Hiyo MUHIMBILI yenyewe na matawi yake kina mloganzila ndio nyoko bini fyedede,wagonjwa hawatoboi.

sasa kama kila sekta za afya mnazichafua hivi,kwahyo mnataka tutibiane majumbani ama? hebu mnapokua na maugomvi yenu malizaneni wenyewe sio mnarusha kombora kwa kampuni nzima.

Magogo kakukera sana inaonyesha, Part 2 ya huu mkasa utusimulie kwa kina MAGOGO kakufanyaje mkuu.
 
Inawezekana hao waliopona wamepona kww uzembe pia (just a joke anyway)

Ila ukweli ni ukweli ni kuwa hiyo hospitali ina gharama za bei juu sana, lakini huduma ni za kiwango duni mno. Wana jengo la kisasa lakini huduma ni za kiwango cha chini. Mimi ni shuhuda wa hili kwa baba yangu mzazi kutibiwa hapo, hadi niliamua kumuhamishia KCMC hospitali. Siwashauri watu kupeleka wagonjwa wao hapo, kwanza kabisa ni kwa huduma duni, na gharama kubwa zisizowiana na ubora wa matibabu.
Gharama inakuwa kubwa kutokana na gharama za uendeshaji; mfano, chukulia labda dokta bingwa alipwe milioni 7, na chanzo cha mapato pekee ni gharama za matibabu; hapo si lazima gharama ziwe juu? Sijajua lakini, wanachanzo kingine cha mapato hapo hospitalini?
 
Sijawahi lazwa seliani lakini nimepeleka mwanangu seliani kapata matibabu seliani,kalazwa wiki mbili pale nikiwa nae wodini.

Hospitali ambayo chakula tulikua tunapewa ndani wodini,jioni unakuja unaulizwa uandaliwe nini unaenda andaliwa chakula utakachotaka wewe na mtoto.

Asubuhi mchana Jioni huduma za chakula ni ki VIP sana, Uangalizi wa wagonjwa uko vizuri,kuona wagonjwa sheria ni kali sana hii inasaidia hata kuepusha maadui kuingia wodini.

Hadi tunakuwa discharged mwanangu hakuelewa kama tupo hospital maana hakuna kitu cha nyumbani alikikosa wodini, kadhalika na wodi za watu wazima nilikua nikienda watembelea usiku wakati mwanangu kalala,Huduma ni nzuri na zinaridhisha.

Kasoro zipo kila mahali hakuna kitu kizuri kinachokosa kasoro,seliani nao wana kasoro zao ila zinavumilika, Kuhusu BEI seliani sio rafiki kwa watumia CASH tumia BIMA upate huduma stahiki,CASH ina cost sana.

Bili iliyokuja siku tunakua discharged (kwa wiki mbili) kuanzia matibabu mpka malazi ni 7.5M (nhif) ili cover kila kitu sikuwahi toa hata senti 5 yangu.

7.5m mtanzania wa kawaida anaitoa wapi? seliani si rafiki eneo hilo TU kwa upande wangu lakini.
 
Sjui ninyamaze kuna nyengine iko Dar hapo ile iko ukonga sjui ya Cardinal nani sjui ila daaah wale jamaa wako sharo [emoji3]
 
Tatizo la Seliani ni kuwaondoa wazungu waliokuwepo kwenye management.

Baada ya hao kuondoka imeshuka kidogo ila ni hospitali kongwe na bora kwa hapo Arusha.

Hospitali kongwe ya Seliani ni iliyoko maeneo ya ngaramtoni. Ile ya pale mjini sio kongwe. Haina huduma bora bali ina majengo ya kisasa. Huenda hilo la kuondoa wazungu likawa na ukweli, lakini as how it stand ni hospitali yenye huduma duni na gharama kubwa ya matibabu isiyostahili.
 
Naona kama huu ni ugomvi binafsi ila umeamua kugeneralize hospital nzima,Thread nzima umetaja watu wawili hasa hasa nadhani ugomvi wako upo na bwana Magogo,mtakua mmezinguana mahali.

Hili ni swala binafsi sababu ulizotaja sioni kama zinaweza ibebesha sifa mbaya hospitali nzima,japo unaweza kuwa na point kadhaa ila si kwa ujumla kuwa Selian ni Hatari,Hapana.

Sema tu Magogo ndio hatari na wala sio seliani,habari nyingine nyingine wewe huzijui nadhani ungeacha tu hvyo hvyo mambo ya madeni mambo gani sijui hizo zote ni "hear say" nikikwambia u prove utaanza sema "mbona kama ni hivyo n hivi"

Acha hizo Mkuu,Seliani ni nzuri na kama n madhaifu kila hospitali ina madhaifu yake,Dar mwananyamala ishaitwa majina yote ile hospitali, BOCHI ndio usiseme ukipeleka mgonjwa pale haruki, Hiyo MUHIMBILI yenyewe na matawi yake kina mloganzila ndio nyoko bini fyedede,wagonjwa hawatoboi.

sasa kama kila sekta za afya mnazichafua hivi,kwahyo mnataka tutibiane majumbani ama? hebu mnapokua na maugomvi yenu malizaneni wenyewe sio mnarusha kombora kwa kampuni nzima.

Magogo kakukera sana inaonyesha, Part 2 ya huu mkasa utusimulie kwa kina MAGOGO kakufanyaje mkuu.
Inawezekana kaporwa nesi au mhudumu wa kike, wivu wa kimapenzi.
 
Gharama inakuwa kubwa kutokana na gharama za uendeshaji; mfano, chukulia labda dokta bingwa alipwe milioni 7, na chanzo cha mapato pekee ni gharama za matibabu; hapo si lazima gharama ziwe juu? Sijajua lakini, wanachanzo kingine cha mapato hapo hospitalini?

Gharama ziendane na ubora wa matibabu, na sio madai ya madaktari wao.
 
Watu humu JF ni matahila Sana, yaani mtu akileta Jambo fulani ambalo kwa maslai ya Taifa, mnamuita mfitini,

Yaani mfano Mimi nna Jambo zito kwenye taasisi moja ya Nchi juu ya mtu fulani, lakini kamwe siwezi kulileta humu kwa matahila , yaani humu hata ukileta habari juu ya uzembe wa mtu fulani wa nafasi fulani, mizezeta itakuambia majungu tu hayo!
JF of GT's si jukwaa la majungu, hebu tueleze hoteli ya Corridor na kuchangishwa waumini kuna husiana nini na hiyo hosipitali, ni heri tuwe mataahira kuliko kutetea ugomvi binafsi wa kuporana wanawake.
 
Gharama ziendane na ubora wa matibabu, na sio madai ya madaktari wao.
Gharama zinaanzia kumuona dakitari inaweza kuwa shs 70,000/= tiba na malazi nazo zinatofautiana, baadhi malazi 30,000/= , hosipitali za serikali kumuona dakitari kama utafanikiwa ni bure.
 
Gharama zinaanzia kumuona dakitari inaweza kuwa shs 70,000/= tiba na malazi nazo zinatofautiana, baadhi malazi 30,000/= , hosipitali za serikali kumuona dakitari kama utafanikiwa ni bure.
Kumuona daktari hosp za serikali sio bure. Ni buku 2 au buku 4
 
Sijawahi lazwa seliani lakini nimepeleka mwanangu seliani kapata matibabu seliani,kalazwa wiki mbili pale nikiwa nae wodini.

Hospitali ambayo chakula tulikua tunapewa ndani wodini,jioni unakuja unaulizwa uandaliwe nini unaenda andaliwa chakula utakachotaka wewe na mtoto.

Asubuhi mchana Jioni huduma za chakula ni ki VIP sana, Uangalizi wa wagonjwa uko vizuri,kuona wagonjwa sheria ni kali sana hii inasaidia hata kuepusha maadui kuingia wodini.

Hadi tunakuwa discharged mwanangu hakuelewa kama tupo hospital maana hakuna kitu cha nyumbani alikikosa wodini, kadhalika na wodi za watu wazima nilikua nikienda watembelea usiku wakati mwanangu kalala,Huduma ni nzuri na zinaridhisha.

Kasoro zipo kila mahali hakuna kitu kizuri kinachokosa kasoro,seliani nao wana kasoro zao ila zinavumilika, Kuhusu BEI seliani sio rafiki kwa watumia CASH tumia BIMA upate huduma stahiki,CASH ina cost sana.

Bili iliyokuja siku tunakua discharged (kwa wiki mbili) kuanzia matibabu mpka malazi ni 7.5M (nhif) ili cover kila kitu sikuwahi toa hata senti 5 yangu.

7.5m mtanzania wa kawaida anaitoa wapi? seliani si rafiki eneo hilo TU kwa upande wangu lakini.
NHIF wanalipia chakula?
 
Naona kama huu ni ugomvi binafsi ila umeamua kugeneralize hospital nzima,Thread nzima umetaja watu wawili hasa hasa nadhani ugomvi wako upo na bwana Magogo,mtakua mmezinguana mahali.

Hili ni swala binafsi sababu ulizotaja sioni kama zinaweza ibebesha sifa mbaya hospitali nzima,japo unaweza kuwa na point kadhaa ila si kwa ujumla kuwa Selian ni Hatari,Hapana.

Sema tu Magogo ndio hatari na wala sio seliani,habari nyingine nyingine wewe huzijui nadhani ungeacha tu hvyo hvyo mambo ya madeni mambo gani sijui hizo zote ni "hear say" nikikwambia u prove utaanza sema "mbona kama ni hivyo n hivi"

Acha hizo Mkuu,Seliani ni nzuri na kama n madhaifu kila hospitali ina madhaifu yake,Dar mwananyamala ishaitwa majina yote ile hospitali, BOCHI ndio usiseme ukipeleka mgonjwa pale haruki, Hiyo MUHIMBILI yenyewe na matawi yake kina mloganzila ndio nyoko bini fyedede,wagonjwa hawatoboi.

sasa kama kila sekta za afya mnazichafua hivi,kwahyo mnataka tutibiane majumbani ama? hebu mnapokua na maugomvi yenu malizaneni wenyewe sio mnarusha kombora kwa kampuni nzima.

Magogo kakukera sana inaonyesha, Part 2 ya huu mkasa utusimulie kwa kina MAGOGO kakufanyaje mkuu.
Mimi sina ugomvi nimeleta uzi hapa kutoa tahadhari ili muokoe maisha yenu na wapendwa wenu,huyu CEO amemuajiri Specialist kama Super Super ambaye amegharimu maisha ya watu watatu! Dayosisi ianhusika maana wanapaswa kusimamia taasisi zilizo chini yake.Mimi sina mgogoro na yeyote
 
Back
Top Bottom