Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
Hivi ALMC ni Seliani?
mbali na maswala ya Dr Magogo, naona mleta mada umemtaja sana Mr CEO na inaonekana wazi una chuki binafsi na Twisa, kwa taarifa yako tu kwanzia Twisa ashike usukani, mambo mengi yamebadilika sana tofauti hata na kipindi cha nyuma.
halafu kuna watu wanajiona miungu watu kana kwamba wao wasipokuwepo jambo fulani haliwezi kufanyia, kwa taarifa yenu tu, tunapoelekea ni pazuri zaidi kuliko tulipotoka. Mr CEO fanya kazi ndugu hizi kelele za mafisadi na wezi zisikupe shida, chapa kazi
Muhimu: mwombe MUNGU sana tena sana
mbali na maswala ya Dr Magogo, naona mleta mada umemtaja sana Mr CEO na inaonekana wazi una chuki binafsi na Twisa, kwa taarifa yako tu kwanzia Twisa ashike usukani, mambo mengi yamebadilika sana tofauti hata na kipindi cha nyuma.
halafu kuna watu wanajiona miungu watu kana kwamba wao wasipokuwepo jambo fulani haliwezi kufanyia, kwa taarifa yenu tu, tunapoelekea ni pazuri zaidi kuliko tulipotoka. Mr CEO fanya kazi ndugu hizi kelele za mafisadi na wezi zisikupe shida, chapa kazi
Muhimu: mwombe MUNGU sana tena sana