Baraza la Mapinduzi ambalo Rais wa Zanzibar ni Mwenyekiti wake linaundwa na watu gani?

Baraza la Mapinduzi ambalo Rais wa Zanzibar ni Mwenyekiti wake linaundwa na watu gani?

Bataza la mapinduzi ndo jao mawaziri wa serikali hiyo
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
Maalim kawauza wenzake!!
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
Maalim yumo. Alikubali po
 
Nijuavyo Rais ana vyeo vingi kulingana na matukioa anayo-adress

Amiri jeshi mkuu wakati anashughulikia mambo ya kijeshi.
Mwenyekiti wa chama anaposhughulika na vikao au mambo ya kichama.

sasa kama Baraza la mapinduzi ni kama Baraza la Mawaziri kama unavyosema kuna ulazima gani kumvalisha vyeo vyote kwa mpigo wakati wote. Kwani Rais wa Jamhuri sio Mwenyekiti wa Vikao vya Baraza la Mawaziri??.

NB: sina uhakika kama Naibu Mawaziri wanahudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri.
Kwa Zanzibar when you Address the President its a must
Naona nchi nyingi za kimapinduzi iko hivyo
Cuba enzi za Castro
Iran ya Ayatola
Uganda ya Amin
 
Nijuavyo Rais ana vyeo vingi kulingana na matukioa anayo-adress

Amiri jeshi mkuu wakati anashughulikia mambo ya kijeshi.
Mwenyekiti wa chama anaposhughulika na vikao au mambo ya kichama.

sasa kama Baraza la mapinduzi ni kama Baraza la Mawaziri kama unavyosema kuna ulazima gani kumvalisha vyeo vyote kwa mpigo wakati wote. Kwani Rais wa Jamhuri sio Mwenyekiti wa Vikao vya Baraza la Mawaziri??.

NB: sina uhakika kama Naibu Mawaziri wanahudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri.
Manaibu waziri hawaingii kwenye vikao vya wawakilishi na baraza la mawaziri...instead makatibu wakuu wa wizara wanaingia .
 
Kuna katibu wao ambaye anaitwa katibu mkuu kiogozi anateuliwa na rais kwa sasa ni mwanamama aliwahi huwa hapa bongo ikulu ya magogoni na baadae wizara ya nishati nimemsahau jina ila msambwanda sijausahau
Hahahaha Umetengeneza siku yangu leo, yaani unakumbuka msambwanda? haya siku njema.
 
Back
Top Bottom