Kwandikwa -shinyanga
Katambi -shinyanga
Biteko- shinyanga
Mashimba- simiyu
Kalemani -Geita
Mabula-Mwanza
Bashungwa- kagera
Waitara-Mara
Kitendo hicho hicho mimi naona kama ndiyo kilichomgharimu urais ndugu yetu kule Taifa kubwa duniani. Alikuwa anatweet utafikirui ni mimiKigwa ali loose focus, muda wote anachati twitter, sasa aende awe anakesha huko twitter tunataka mtu ambaye atakuwa focussed na kazi yake.
Na wote wanaozungumzia hoja ya "ukanda na ukabila" ni wale wanaounga mkono hoja ya UKANDA kama njia ya utawala kama inavyopigiwa debe na CHADEMA na Lissu wao! Mtego huo wa kitoto haumnasi mtu mzima na akili zake. Hakuna sheria wala kanuni wala taratibu zinazoongoza uundaji wa Cabinet. Kigezo kikubwa ni uwezo wa utendaji wa mteule, ukiendana na weledi na uzalendo wake PERIOD, mengine ni uchochezi tu!Mimi ni Learned brother/counsel na wewe ni "lay person" ama kwa wakatoliki wanaita "walei" yaani poyoyo! sasa nitake radhi, najua nlichoandika hapa, narudia kusema JPM kafuata kanuni na sheria kuunda baraza, badala mjadili cv za waeuliwa mnaangalia dini na kanda, haya makabila ni kwaajili ya kutaniana tu na si mambo ya madaraka, ndiyo maana mchaga anamtania mpare tabia yake ya uchoyo na kula ugali kwa picha ya samaki
you miss a point dude, " CHADEMA" inataka utawala wa majimbo na si ukanda kama wewe akili zako matope unavyodhani, MAJIMBO nchi za wenzetu imewaletea maendeleo lakini UKABILA umeleta sjhida kwenye CCM.Na wote wanaozungumzia hoja ya "ukanda na ukabila" ni wale wanaounga mkono hoja ya UKANDA kama njia ya utawala kama inavyopigiwa debe na CHADEMA na Lissu wao! Mtego huo wa kitoto haumnasi mtu mzima na akili zake. Hakuna sheria wala kanuni wala taratibu zinazoongoza uundaji wa Cabinet. Kigezo kikubwa ni uwezo wa utendaji wa mteule, ukiendana na weledi na uzalendo wake PERIOD, mengine ni uchochezi tu!
Tena limejaa ukabila tupuKanda ya nyanda za juu HAKUNA.
Hili ni Baraza ya kanda ya Ziwa.
Kwanini msiteue waislamu wote?Na wote wanaozungumzia hoja ya "ukanda na ukabila" ni wale wanaounga mkono hoja ya UKANDA kama njia ya utawala kama inavyopigiwa debe na CHADEMA na Lissu wao! Mtego huo wa kitoto haumnasi mtu mzima na akili zake. Hakuna sheria wala kanuni wala taratibu zinazoongoza uundaji wa Cabinet. Kigezo kikubwa ni uwezo wa utendaji wa mteule, ukiendana na weledi na uzalendo wake PERIOD, mengine ni uchochezi tu!
dah, dah dahTena limejaa ukabila tupu
Mhhhdah, dah dah
sometimes kuna mambo yanafanyika utadhani unasoma riwaya kwa wale tilizo zisoma zamani.Mhhh
Suresometimes kuna mambo yanafanyika utadhani unasma riwaya kwa wale tiliosoma zamani.
Sawasawa hata suala la kuwepo mzanzibar ndani ya baraza la mawaziri si muhimu sanaTunashindwa kutofautisha kuteuliwa na kuendelea kutumikia nafasi zao.
Hapa ndipo wengi tumejikuta tunajadili ukanda, udini, ukabila na jinsia, pasipo kujua hatujaelewa wapi.
Mtazamo wangu ni kuwa wengi wa Mawaziri ni wale wa Zamani, wangelikuwa wote wapya ndiyo tungelisema haya ya Udini, ukabila, Ukanda na jinsia.
walikuwako wengi akina Mwinyi, Sheir, SEif na wengine na hatujaona mabadiliko, by the way, AFrica ni moja, mambo ya Uzanzibara na uzanzibariSawasawa hata suala la kuwepo mzanzibar ndani ya baraza la mawaziri si muhimu sana
Kwa mfano Kigwangala amekuwa Waziri miaka mingi utalii, akienda kuwekeza kwenye utalii kwa vile ni mzoefu si safi kabisa. Au unasemaje mama lao mama DWizara 23 tuu sio kila mtanzania anaweza kuwa waziri.
Kuna mambo mengine mengi tunaweza kufanya na yakaletea nchi maendeleo na heshma kubwa sana
Mungu ibariki Tanzania
Iko sawa kabisa mkuu, na alipata kiinua mgongo, bado ana mshahara wa ubunge hakosi mtaji wa kufanya uwekezaji wenye faida👍Kwa mfano Kigwangala amekuwa Waziri miaka mingi utalii, akienda kuwekeza kwenye utalii kwa vile ni mzoefu si safi kabisa. Au unasemaje mama lao mama D
Kukosa uwaziri si bado ni mbunge na daktari pia?Kwa mfano Kigwangala amekuwa Waziri miaka mingi utalii, akienda kuwekeza kwenye utalii kwa vile ni mzoefu si safi kabisa. Au unasemaje mama lao mama D
Unsatisfactory analysisMh Magufuli kateua baraza la mwaziri, 05-12-2020 mida ya jioni kama alivyotabiri kigogo2014 lakini watu wamelipa kisogo na habari za simba na Plateau zimevuma kuliko Baraza Lenyewe.
Je, watanzania wamechoka na kuona hakuna jipya au?
1. Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji ofisi ya Rais Mkumbo Kitilya
6.Wizara ya Katiba na sheria Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii DK Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jaffo
11.Madini Dotto Biteko
12.Nishati Dkt Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Mambo ya ndani George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt Mstaafu George Mkuchika
MANAIBU WAZIRI:
1.Viwanda na Biashara-Kigahe Exaud Silaoneka
2.Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi-Dkt.Angelina Mabula
3.Ofisi ya Waziri Mkuu, kazi, Vijana na Ajira-Katambi Pascal Patrobas
4.Mambo ya ndani ya nchi-Hamis Hamza Hamis
5.Fedha na Mipango-Mwanaidi Ali Hamis
6.Elimu Sayansi na Teknolojia-Kipanga Juma Omary
7.Ofisi ya Rais TAMISEMI-Dkt Festo John Lugange
8.Nishati-Byabato Stephen Mjwahuka
9.Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala bora- Ndejembi Deogratias John
10.Mawasiliano na Telnolojia ya habari-Mhandisi Kundo Andrea Mathew
11.Mifugo na Uvuvi- Gekul Pauline Philipo
12.Madini-Ndulane Francis Kumba
13.Ujenzi -Mhandisi Msongwe Godfrey Kasekenya
14.Ofisi ya Waziri mkuu wenye Ulemavu-Ummy Hamis Nderiananga @Ummy Ndeliananga
15.Maji-Mhandisi Maryprisca Wilfred Mahundi
16..Habari, Umaduni,Sanaa na Michezo-Abdalah Ulega
17.TAMISEMI Silinde David Ernest
18.Kilimo-Husein M.Bashe
19.Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, wazee na watoto Dkt Godwin Molel
20.Katiba na Sheria Pinda Geofrey Mizengo
21.Muungano na Mazingira-Mwita Waitara
22.Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki-William Tate Ole Nasha
23.Maliasili na Utalii - Mary Francis Masanja
KANDA YA ZIWA -MAWAZIRI
Kutoka kanda ya ziwa wapo mawaziri 10 kati ya 23 Tanzania nzima, hapa HAKUNA UKANDA.
MANAIBU:-
wachache sana , ha ha ha
DINI:
Nchi yetu si ya udini na si vyema kuzungumzia maana kila mtu ana dini yake.
Kuna akina John lakini waislamu na Ramadhani lakini mkristo kama alivyokuwa jaji agustino ramadhani
Ndiyo maana tafiti moja inaendelezwa na nyingine, lete ya kwako maana upo smart sanaUnsatisfactory analysis
Kule Zanzibar nchi yao ni ndogo ukumbuke hilohapa kazi tu, mambo ya sijui waziri kutoka Zanzibar, mbona wao hawateuagi waziri kutoka Bara?
Linafaa kuitwa baraza la maaskofuDuh waislam wa 3 tu.