Tzmzalendo og
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 337
- 136
Kulikuwa na mawazir watatu but walikuwa wanalitumikia taifa syo mkoa, kaangalie kgm Kama Kuna fly over ndo useme ukanda unaimpact au n porojo tu.
Kwani hao kanda ya ziwa sio Watanzania?
Kipindi kile Kigoma ilikuwa na Mawaziri 3 hakuna aliyehoji....