Quote aliyesema kimei kanyimwa uwaziri.
Afterall kimei sjui nini kimemuingiza ktk siasa, unapewa uwaziri unatukanwa mkeo na watoto wanakuonaje, watakuona poyoyo tu
Afterall kimei sjui nini kimemuingiza ktk siasa, unapewa uwaziri unatukanwa mkeo na watoto wanakuonaje, watakuona poyoyo tu
umeona eeh, tukubali tu JPM kaleta baraza lenye sura ya kitaifa, wasio tutakia mema ndio wanasemaet , lina waislamu asilimia 3, mara mchagga mmoja, mara kimei kanyimwa uwaziri wa fedha, yani porojo zisizoisha.