Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Kigwa ali loose focus, muda wote anachati twitter, sasa aende awe anakesha huko twitter tunataka mtu ambaye atakuwa focussed na kazi yake.Kigwangala kapewa muda wa kutosha wa kujadili masuala ya simba sports club.