Baraza la Mawaziri 2020 Halina Ukanda, Udini wala Ukabila!

Biteko siyo Shinyanga ni wa Geita
Kwandikwa -shinyanga
Katambi -shinyanga
Biteko- shinyanga
Mashimba- simiyu
Kalemani -Geita
Mabula-Mwanza
Bashungwa- kagera
Waitara-Mara
 
Hakuna CCM imefanya ? Uko serious kweli wewe ? Bila CCM ungekuja hapa kuandika uharo huu ?
 
Mimi naona hao kanda ya ziwa ndio wamesoma sana na CV zao zinawabeba na hata ukiangalia matokeo yao shule za huko zinafaulisha sana, wanastahili.

Hivi unaweza mpa BABU TALE Uwaziri?

Ndio si mbunge wa ccm aliyepita bila kupingwa hivyo anastahili!!! Ccm oyeeee!
 
lengo kuu la hii wizara mpya ni kudhibiti tu habari za wakosoaji mitandaoni...hawana jipya
 
Vipi kuna waziri kutoka unguja??
 
Mie Kyusa, kwa muda mrefu hatujawahi kukosa uwakilishi toka kanda ya myanda za juu, hasa Njombe, Songea, Iringa na Mbeya.
Kanda hii ya The Big Four, breadbasket ya Tanzania in umuhimu wake.

Lukuvi, silinde, ndumbaro hao wanatokea wapi?
 
Una hoja, lkn pia una viroja.

Unaona sio haki Phd holder kulipwa mshahara sawa na std 7 bungeni,.. kwani hiyo Phd ni ya ubunge!?

Kama mtu anataka 'atazamwe zaidi' kwa sababu ya vyeti vyake si abaki tu kwenye taaluma yake!
 
Mle mle
 

Attachments

  • Screenshot_20200518_071225.jpg
    78.1 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…