Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bibie kupoozwa kwa Uwaziri?![]()
Na huyu nae kaahidiwa udisiiiHakuna mbaya mbona Kikwete alimpoza huyu kwa uwaziri?
![]()
CHADEMA bado hawana watu wenye uzoefu wa kuendesha serikali. Huwezi kuendesha serikali kwa kutegemea watu wachache. Hawa wanahitaji muda kukaa katika upinzani ili wajifundishe. Na hii inasikitisha kua inawapa nafasi CCM kuendelea bila upinzani wa imara .