Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

TAMBAZA imekuwa 314/423 Kwa nini huyo mkuu hatumbuliwi?
 
shule za kiislamu kwanini zimeshika mkia
Nitajie shule ya kiislamu hapa.

Shule 10 zilizofanya vibaya:
1.Mpendae-Unguja
2.Ben Bella-Unguja
3.Tumekuja-Unguja
4.Green Bird Boys-Kilimanjaro
5.Jang'ombe-Unguja
6.Kiembe Samaki-Unguja
7.Tanzania Adventist-Arusha
8.Al- Ishan Girls-Unguja
9.Azania-Dar es Salaam
10.Lumumba-Unguja
 
Uuuwi nikisikia KIBAHA mwili unasisimka... nikisikia ILBORU nazidi kuchanganyikiwa... long live my schools..... Hahahaha.. ONCE SPECIAL ALWAYS SPECIAL watani zangu MZUMBE .... hahaha KILAKALA msalato pale kati ... ahaaaa na watoto wa Tabora galz... Special always... Nooo jembe lao KISIMIRI na THE HEADS OF TANZANIA... LONG LIVE
 
Habari Wana JF,

Haya watahiniwa mlitihaniwa 2016 jitazameni kama ni Elimu ya juu au diploma, matokeo yenu yapo hewani. Ila three nyingi hazitoenda chuo kikuu. Kwa maana mtu kapata DE, BE na kadhalika.
siyo kweli
 
sio kweli
 
Matokeo ya Zanzibar yanasikitisha. Tunaomba Jecha afute matokeo na kuamrisha mtihani wa marudio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…