Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
H
Jamani hivi akina nani huwa wanasahihisha paper za General Studies? Mimi nilitoka kwenye mtihani nikijua nina A matokeo kutoka nikakuta F, sasa hebu ona hao vipanga walivyogalagazwa na GS🙄🙄🙄