Diklopar
Member
- Oct 4, 2014
- 12
- 3
Wewe ulipata ngapi?thank lord my mdogo ana two ya 12!!toooo excited
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulipata ngapi?thank lord my mdogo ana two ya 12!!toooo excited
Kuna namna hapo. Unguja nadhani watafute kitu kingine tu haya mambo ya shule waachane nayo
Hahahaha Mkuu sina hakikaUnguja ndiyo kwa Jecha?
Kama ndiyo kwake basi hata sishangai!Hahahaha Mkuu sina hakika
KISMIRI ni special school wanafunzi wanao join pale vgezo lazima uwe umefaulu sana kwa sayansi na arts wapo boys and girls kifupi ipo level za ILBORU, TABORA BOYS, MZUMBE, MSALATO, KILAKALA, na KIBAHA .naomba kuifahamu kwa undani hii shule 'KISIMIRI'
sasa two nayo ni ya kushangilia mkuu?au kwenu hakuna alyewah kuwa na record ya walau kupata two?thank lord my mdogo ana two ya 12!!toooo excited
shule za kiislamu kwanini zimeshika mkia[/QUOTE acha udini mkuu.Baba yako Mohammed saidi ameacha umebaki wewe tu
thank lord my mdogo ana two ya 12!!toooo excited
kwa matokeo A E E niaje niaje
Mkuu jibu suali maana huyo ana two ya point 11,je chuo haendi?.huyo ni ****** namba 1
Upo serious au unatania mkuu?shule za kiislamu kwanini zimeshika mkia
Mkuu jibu suali maana huyo ana two ya point 11,je chuo haendi?.
Ndo wa kwanza huyo dogo kwa top ten ya sayansi.Jamani top ten ya best students imekaaje?Nimeona tatu moja ya pcm Tabora Boys ,haijaingia ?
shule za kiislamu kwanini zimeshika mkia
Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI,
Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.
Shule 10 zilizofanya vizuri:
1.Kisimiri,-Arusha
2.Feza Boys,-Dar es Salaam
3.Alliance Girls,-Mwanza
4. Feza Girls,-Dar es Salaam
5. Marian Boys,-Pwani
6.Tabora Boys,-Tabora
7.Kibaha,-Pwani
8.Mzumbe-Morogoro
9.Ilboru,-Arusha
10. Tandahimba-Mtwara
Shule 10 zilizofanya vibaya:
1.Mpendae-Unguja
2.Ben Bella-Unguja
3.Tumekuja-Unguja
4.Green Bird Boys-Kilimanjaro
5.Jang'ombe-Unguja
6.Kiembe Samaki-Unguja
7.Tanzania Adventist-Arusha
8.Al- Ishan Girls-Unguja
9.Azania-Dar es Salaam
10.Lumumba-Unguja
KWA MATOKEO: BOFYA HAPA
Sijui bado kuna kitengo vijana wa kitengo walikua hawasomi wao uhuni ndo hapo alitokaga marehemu justin yule aliyeuuwawaShule zilizofanya vibaya:
9.Azania-Dar es Salaam
Maskini shule yangu - nilikosoma kidato 1-4; shule maarufu enzi hizo. Shule walikosoma wengi wa viongozi wa sasa, Hussein Mwinyi akiwemo. Inasikitisha sana.
Justin yupi?Sijui bado kuna kitengo vijana wa kitengo walikua hawasomi wao uhuni ndo hapo alitokaga marehemu justin yule aliyeuuwawa