Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Ikumbukwe shule za serikali zilikuwa hazionekani tena kwenye top ten ya wanaofanya vizuri, bali zilikuwa maarufu katika wa KUMI MWISHO( THE LAST TEN)

Wakati CCM wakiwa wamejikita katika kupigia debe uchumi wa gesi, bila kujali elimu wala kuwa na sera madhubuti ya elimu, Mh Lowasa aliwaamsha na sera yake maarufu ya ELIMU, ELIMU ,ELIMU

Nani asiyejua kuwa serikali hii ilikopa huo msisitizo na kuamka usingizini kuhusu elimu na matokeo yake leo katika top ten ya FORM SIX shule nne (4) ni za SERIKALI

hongera UKAWA , hongera LOWASA; maendeleo hayana chama

Ebana eeh! Mlisema hayuko serikalini toka 2008 toka ahamie huko kwenu ni kutafuta kick kwa maandamano na wabunge wake wamesusia kila kitu.Wenzenu wanachapa kazi nyie mmegomea kila kitu. Sasa watu wanaona tatizo ni nyie na E.L inatakiwa mumpe pore nyingi na msiendelee kumpa sifa kumpiga pesa.
Chuma kimekolea moto nyie pisheni njia tu JPM yeye kazi tu nyie zungusheni mpaka viuno muone mabadiliko ni kitu gani.
 
Sasa kama E ni moja akiwa nazo mbili si 2 +D=4 ama utaratibu upo vipi
Hapo utakuwa na vigezo tu kama una D 2 katika comb kama una E 2 sorry kwani kujiunga na programs za vyuo vikuu wana consider principal 2 bora katika combination yako.
 
Swali langu lipo hapa mweenye uelewa aniambie kuhusu course ya logistics and transport management 2015/2016 kwenye helbs priority course haimo kwenye list lkn tcu admission guudebook imeandkwa priority vp mkopo watu wamepewa au imeandikwa tu?
 
Ikumbukwe shule za serikali zilikuwa hazionekani tena kwenye top ten ya wanaofanya vizuri, bali zilikuwa maarufu katika wa KUMI MWISHO( THE LAST TEN)

Wakati CCM wakiwa wamejikita katika kupigia debe uchumi wa gesi, bila kujali elimu wala kuwa na sera madhubuti ya elimu, Mh Lowasa aliwaamsha na sera yake maarufu ya ELIMU, ELIMU ,ELIMU

Nani asiyejua kuwa serikali hii ilikopa huo msisitizo na kuamka usingizini kuhusu elimu na matokeo yake leo katika top ten ya FORM SIX shule nne (4) ni za SERIKALI

hongera UKAWA , hongera LOWASA; maendeleo hayana chama
Subiri wanapekua kurasa na kuchagua matusi ya kukuzawadia
 
Mzumbe kunanini? Yaani wanapitwa mpaka na Tabora boys????????
 
Weka matokeo ya shule iliyoko monduli
kuna shule inaitwa IRKISONGO pale yeye ndo mwenyekiti wa bodi. Hamna kitu pamoja na walimu na wanafunzi kujituma sana. Menejiment ndo mbovu.
 
Back
Top Bottom