Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji4][emoji3][emoji3][emoji3]Jina lako lenyewe "wanjera" kwahiyo chuo utakisikia ITV tu.
Tunataka uwezo wa mtu umpeleke chuo sio jinsia!!kwa takwimu hii ya haya matokeo na sifa wazitakazo tcu baasi wanawake weng watarud kitaa na itapelekea hata baadh za koz za engineering kukosa kabisa wanawake
nimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
mitihani imefanyika mwaka huu, Ndalichako kateuliwa mwaka janaNdalichako kwanza Kazi lini na form six wamefanya mtihani lini?
Amepata div 3 ya 14 kwa
Gs E
Phy E
Chem D
A/maths E
Vip chuo ataenda au ndo asi apply kabsa...naombeni ushauri...
Aaaaa wapi Hali ni Ile Ile na tena sasa hivi Kuna Hali mbaya kwenye vyoo ni vibovu hatariMazingara yake vipi nilisoma hapo A level 1983/85 kulikuwa na tatizo la maji, kuoga mpaka kwenye visima(pond) na maji yenyewe duh usipojikausha vizuri fungus huko kati wanasumbua. Mazingira yameboreshwa ya upatijanaji wa maji?
Kwa utaratibu huu wa juzi utakuwa hujafikisha 4.0.
mbona simple tu.mtafutie bwana aolewe.hakuna namna tena.Mdogo wangu kapata
Gs F
Hist E
Geog D na
Engl S ambayo ni dv 3 ya 15.
Nimekuwa disappointed sana na haya matokeo simply b'coz I expected she could just get dv two or two principal passes.
Mkuu kuna mdogo wangu wa kike ana PCM_ECE point 13,sijui watamfikiria au ndio hivo yupo nje tayali ya system.Kwa utaratibu huu wa juzi utakuwa hujafikisha 4.0.
Daaaaaah....sasa hapo mkuu itakuwaje...Kwa utaratibu huu wa juzi utakuwa hujafikisha 4.0.
Kwa utaratibu huu wa juzi utakuwa hujafikisha 4.0.
Mkuu waowaji wenyewe wanataka binti angalau mwenye kakazi kidogo.mbona simple tu.mtafutie bwana aolewe.hakuna namna tena.
Mkuu ndo umefufuka? Sasa lowassa na hiyo sera ya elimu elimu elimu kaitumia vp? Serikali ya awamu hii kupitia kwa prof. Ndalichako anamikakati mizuri ya kikuza taaluma nchini na si hayo maigizo ya kutamka neno elimu kutwa mara tatu kesha unasema watanzania mnajua na dunia inajua then unashuka jukwaani.Ikumbukwe shule za serikali zilikuwa hazionekani tena kwenye top ten ya wanaofanya vizuri, bali zilikuwa maarufu katika wa KUMI MWISHO( THE LAST TEN)
Wakati CCM wakiwa wamejikita katika kupigia debe uchumi wa gesi, bila kujali elimu wala kuwa na sera madhubuti ya elimu, Mh Lowasa aliwaamsha na sera yake maarufu ya ELIMU, ELIMU ,ELIMU
Nani asiyejua kuwa serikali hii ilikopa huo msisitizo na kuamka usingizini kuhusu elimu na matokeo yake leo katika top ten ya FORM SIX shule nne (4) ni za SERIKALI
hongera UKAWA , hongera LOWASA; maendeleo hayana chama
Mkuu ndo umefufuka? Sasa lowassa na hiyo sera ya elimu elimu elimu kaitumia vp? Serikali ya awamu hii kupitia kwa prof. Ndalichako anamikakati mizuri ya kikuza taaluma nchini na si hayo maigizo ya kutamka neno elimu kutwa mara tatu kesha unasema watanzania mnajua na dunia inajua then unashuka jukwaani.Ikumbukwe shule za serikali zilikuwa hazionekani tena kwenye top ten ya wanaofanya vizuri, bali zilikuwa maarufu katika wa KUMI MWISHO( THE LAST TEN)
Wakati CCM wakiwa wamejikita katika kupigia debe uchumi wa gesi, bila kujali elimu wala kuwa na sera madhubuti ya elimu, Mh Lowasa aliwaamsha na sera yake maarufu ya ELIMU, ELIMU ,ELIMU
Nani asiyejua kuwa serikali hii ilikopa huo msisitizo na kuamka usingizini kuhusu elimu na matokeo yake leo katika top ten ya FORM SIX shule nne (4) ni za SERIKALI
hongera UKAWA , hongera LOWASA; maendeleo hayana chama