Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,353
- 815
Vyoo tulikuwa tunavua nguo unaingia na bukta tu ,ukimaliza unarudi kuvaa nguo zako.Aaaaa wapi Hali ni Ile Ile na tena sasa hivi Kuna Hali mbaya kwenye vyoo ni vibovu hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyoo tulikuwa tunavua nguo unaingia na bukta tu ,ukimaliza unarudi kuvaa nguo zako.Aaaaa wapi Hali ni Ile Ile na tena sasa hivi Kuna Hali mbaya kwenye vyoo ni vibovu hatari
Soma hapo copy and paste for TCU -> Completed A –Level
studies from 2016
Two principal passes (Two Ds) with a total of 4.0 points (where A = 5; B = 4; C= 3; D = 2; E = 1).
Itakuwaje sasa hapo .
huyu atapeta..ana 4.0Mkuu kuna mdogo wangu wa kike ana PCM_ECE point 13,sijui watamfikiria au ndio hivo yupo nje tayali ya system.
Nashukuru kwa mchango wako mkuu.mbona simple tu.mtafutie bwana aolewe.hakuna namna tena.
D eng D kisw S geo anasoma course gan ukiacha education?
Chuo anaenda.sijakuelewa mkuu amefanikiwa au hajafanikiwa?
NAONA SASA SHULE ZA SERIKALI ZINARUDI KWENYE UBORA WAKE
UD Zaman Sa Iv,, Hamna Kitu,, Hata Ktk topten vyuo Bora Africa haipo Sa Iv,,
Hata mama yako alikuwa mrembo zamaniUD Zaman Sa Iv,, Hamna Kitu,, Hata Ktk topten vyuo Bora Africa haipo Sa Iv,,
Mkuu nimesikia ni ya serikali!Hii Tandahimba ni ya serikali?
huyu atapeta..ana 4.0
Kisimiri Advance siyo mchanganyiko
Sijakataa kwamba wapo safi nimekuambia uchache wao umewabeba kama ilivyokuwa kwa Feza na private zilizokuwa zinashika usukani