Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Mkuu wewe hata utunge pepa wewe tufanye wawili bado nitakuzidi sasa sijui nikazanie vipi masomo

mimi naongea kwa fact

unajua kibaha ilikua ya ngapi last 2 yrs?? Je miundombinu imebadilika 1yr? Mifano iko mingi sana angalia kilakala, tbr girl etc utaona

Basi yaishe bwana
 
Ikumbukwe shule za serikali zilikuwa hazionekani tena kwenye top ten ya wanaofanya vizuri, bali zilikuwa maarufu katika wa KUMI MWISHO( THE LAST TEN)

Wakati CCM wakiwa wamejikita katika kupigia debe uchumi wa gesi, bila kujali elimu wala kuwa na sera madhubuti ya elimu, Mh Lowasa aliwaamsha na sera yake maarufu ya ELIMU, ELIMU ,ELIMU

Nani asiyejua kuwa serikali hii ilikopa huo msisitizo na kuamka usingizini kuhusu elimu na matokeo yake leo katika top ten ya FORM SIX shule nne (4) ni za SERIKALI

hongera UKAWA , hongera LOWASA; maendeleo hayana chama
 
Simply ni kuwa hatutaki wa kubebwa! Engineering kama huna sifa na vigezo vya kuingia nenda kule juu!! Chuo cha Engineering mlishaanza kukichukulia poa enzi za madrassa!! Sasa mzee wa madrassa karudi kwao na ule upoa haupo tena
Mkuu before 2014 kuingia chuo ulikuwa lazima uwe na E mbili ambazo zilianzisa 35_44,na A ilianzia 75_100.Lakini mwaka huu kwenda chuo ni D mbili ambazo zinaanzia 50_59 huoni kama madogo wamebanwa?.

Zamani ukiwa na 55 tatu ulikuwa na one ya point 9,lakini now ukiwa na 55 tatu una div 2 ya 12.

Huoni kama wamewabana.
 
Pugu kinachowaangusha Kuna comb za kiume tyuu Bila hivyo ingekua ni moto wa kuotea mbali, shule zingine zinabebwa na H kunani
Mazingara yake vipi nilisoma hapo A level 1983/85 kulikuwa na tatizo la maji, kuoga mpaka kwenye visima(pond) na maji yenyewe duh usipojikausha vizuri fungus huko kati wanasumbua. Mazingira yameboreshwa ya upatijanaji wa maji?
 
jaman. kwa matokeo haya Chuo nitaenda au ndo Diploma tena.... (Form IV - ''Chem C'' ''Geo B'' ''Bio B'') & (Form VI ''Chem E'' ''Geo D'' ''Bio E'') 😕😕😕😕😕😕
 
Wazee wa Kitei wametisha sana,ukiangalia Ilboru ndio shule yenye Idadi kubwa ya wanafunzi kulinganisha na special schools nyingine. Kuwa na idadi kubwa ya wanfunzi na kubaki kwenye position nzuri kitaifa sio kazi ndogo. Big up kwa Kismir secondary wazee wa Mlima meru,hawa walikuwa wanajifunza practical Ilboru sasa wamekuwa wakali kuliko kaka zao. Shule za watoto wa maskini zimerudi katika enzi zao. Kazi nzuri Waziri wa elimu Prof Ndalichako.
 
jaman. kwa matokeo haya Chuo nitaenda au ndo Diploma tena.... (Form IV - ''Chem C'' ''Geo B'' ''Bio B'') & (Form VI ''Chem E'' ''Geo D'' ''Bio E'') 😕😕😕😕😕😕
Soma hapo copy and paste for TCU -> Completed A –Level
studies from 2016
Two principal passes (Two Ds) with a total of 4.0 points (where A = 5; B = 4; C= 3; D = 2; E = 1).
 
imekaaje hii mtu ana D mbili na E moja alafu ana division TWO
Hiyo ni TWO ya 12 we kila.za,utakua product ya mlu.go wewe...Mi nilipataga PCB shybush miaka yatu C mbili na E ya physics...tulitusua sana mwaka wetu...na mpaka sasa tunatusua mtaani.

afu mimi ni zao la shule zile za St.Kayumba,ninachofurahi nilitoka SUA nikiwa fiti kwa ajira na kujiajiri
 
Mazingara yake vipi nilisoma hapo A level 1983/85 kulikuwa na tatizo la maji, kuoga mpaka kwenye visima(pond) na maji yenyewe duh usipojikausha vizuri fungus huko kati wanasumbua. Mazingira yameboreshwa ya upatijanaji wa maji?

Walau kuna ahueni saiz,
 
Soma hapo copy and paste for TCU -> Completed A –Level
studies from 2016
Two principal passes (Two Ds) with a total of 4.0 points (where A = 5; B = 4; C= 3; D = 2; E = 1).
kwa hiyo napita au ndo nimekwama...?
 
Ikumbukwe shule za serikali zilikuwa hazionekani tena kwenye top ten ya wanaofanya vizuri, bali zilikuwa maarufu katika wa KUMI MWISHO( THE LAST TEN)

Wakati CCM wakiwa wamejikita katika kupigia debe uchumi wa gesi, bila kujali elimu wala kuwa na sera madhubuti ya elimu, Mh Lowasa aliwaamsha na sera yake maarufu ya ELIMU, ELIMU ,ELIMU

Nani asiyejua kuwa serikali hii ilikopa huo msisitizo na kuamka usingizini kuhusu elimu na matokeo yake leo katika top ten ya FORM SIX shule nne (4) ni za SERIKALI

hongera UKAWA , hongera LOWASA; maendeleo hayana chama
kwa hili tuwe objective jaman sasa input ya lowasa katika hayo matokeo iko wap? hyo elimu elimu elimu ilikuwa kipaumbele chake kama angekuwa Rais wa nchii hiiii.....sasa urais hakupata ili hyo slogan yake ilikuwa excuted paka useme lowasa anahusika na haya matokea aiseee? pambanua zaidi juu ya hilo ili tupate correlation
 
Back
Top Bottom