Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

Unaingia wanaitaj D mbili
Enzi zetu hata matriculation hurusiwi kufanya kwa izo passmark! Tena kasoma h's ndio balaa kabisa! Msimdanganye ajipange na diploma etc,chuo sina uhakika manake,unaweza kuwa na principal 2 ila usipate chanso cz of wingi wa watu waliofaulu vyema zaidi
 
Safi sana chama langu Kichwa cha Tanzania.
Tabora Boys Secondary School.
 
Mkuu wewe hata utunge pepa wewe tufanye wawili bado nitakuzidi sasa sijui nikazanie vipi masomo

mimi naongea kwa fact

unajua kibaha ilikua ya ngapi last 2 yrs?? Je miundombinu imebadilika 1yr? Mifano iko mingi sana angalia kilakala, tbr girl etc utaona
Nope hizo facts basi
 
nimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
Kimbia kaombe diploma kabla hakujajaa. Mlizoea enzi za JK kubebwabebwa

Naona wakongwe wa TZ Kibaha Mzumbe Ilboru Tabora boys tumerudi.

Mchawi wetu alikuwa yuleee wa madrassa!! Kaondoka na uchawi wake!!
 
kwa takwimu hii ya haya matokeo na sifa wazitakazo tcu baasi wanawake weng watarud kitaa na itapelekea hata baadh za koz za engineering kukosa kabisa wanawake
Simply ni kuwa hatutaki wa kubebwa! Engineering kama huna sifa na vigezo vya kuingia nenda kule juu!! Chuo cha Engineering mlishaanza kukichukulia poa enzi za madrassa!! Sasa mzee wa madrassa karudi kwao na ule upoa haupo tena
 
Back
Top Bottom