Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Tuma Namba ya form 4 na sh ". 500

Katika hii Namba 0766047815

Baada ya DK 2 utapata matokeo yako.

Ni uhakika...
watu tunadhik iaisee.ila hongera kwa kuidhihisha yako hadharani,naamini cku ya mashujaa jiandae kupewa zawadii
ni ushujaa ulotukuka
 
Elimu bure kabisa mzazi utanunua sare tu na daftari za mwanafunzi!

Maskini
Mzumbe
Kibaha
Pugu
Iliboru
Minaki

Zishakufa hizo bado kuzizika tu

Kwel cha bure kinaumiza
 
Utaratibu wa kufanya mtihani wa six lazima uwe na C tatu.
Sio C tatu...sema not more than 10 points kwenye combination.sijui umenielewa mkuu? Yani iko ivi wewe pata upatavyo ila hakikisha credit zako ni kusiwe na F kwanza kweny combination, kisha hesabu credit zako kwa pamoja zinazaa point ngap? Mfano una C tatu, tunajua kila C ni 3 basi itakua 3×3 jumla point 9 hivyo advance inakuhusu, vile vile labda una CCD hapo D tuna jua ni 4 na C ni 3 sasa C mbili jumlisha D moja unapata point 10 tayar advance unakuhusu.

Note# usiwe una F kweny combination yako yani mfano una BBF au CCF wewe hapa combination huja balance.
Pili make sure hujapata 4 yani uwe umeanzia div 3 ya 25 kuja div 1 basi criteria hizo utakua umeenda nazo sawa.
Hivyo usikariri kwamba ni C tatu.japo tunakadria kwamba atleast uwe una C tatu utakua una point 9 ambayo inakuruhusu kwenda advance..point mwisho ni 10 mkuu kwa kila combination.
 
Sio C tatu...sema not more than 10 points kwenye combination.sijui umenielewa mkuu? Yani iko ivi wewe pata upatavyo ila hakikisha credit zako ni kusiwe na F kwanza kweny combination, kisha hesabu credit zako kwa pamoja zinazaa point ngap? Mfano una C tatu, tunajua kila C ni 3 basi itakua 3×3 jumla point 9 hivyo advance inakuhusu, vile vile labda una CCD hapo D tuna jua ni 4 na C ni 3 sasa C mbili jumlisha D moja unapata point 10 tayar advance unakuhusu.

Note# usiwe una F kweny combination yako yani mfano una BBF au CCF wewe hapa combination huja balance.
Pili make sure hujapata 4 yani uwe umeanzia div 3 ya 25 kuja div 1 basi criteria hizo utakua umeenda nazo sawa.
Hivyo usikariri kwamba ni C tatu.japo tunakadria kwamba atleast uwe una C tatu utakua una point 9 ambayo inakuruhusu kwenda advance..point mwisho ni 10 mkuu kwa kila combination.
Mkuu huyu binti kapata C 4 yaani Geo c, kisw c Engl c Bio c na amepata Civ d Hist D na Chem f Maths f combination ya kwanza kuchagua ni CBG HGK HKL HGL je anaweza kupata nafasi form five kwa uchaguzi wake huo? Na Kama chip anaweza kwenda diploma kwa ufaulu wake huo
 
Kwa uchaguzi wake huu imekaa hivi: CBG-FCC, HGK -DCC, HKL -DCC, HGL -DCC mana yake uchaguzi wake was CBG atakuwa kafeli. Shule alizochagua ni Bwiru girls, Kondoa girls, Bagamoyo, Babati.
 
Elimu bure kabisa mzazi utanunua sare tu na daftari za mwanafunzi!

Maskini
Mzumbe
Kibaha
Pugu
Iliboru
Minaki

Zishakufa hizo bado kuzizika tu

Kwel cha bure kinaumiza
Kwa sababu hawaibi mitihani
 
Teh teh et hawaibi mitihani cha bure ndo madhara yake hayo mkuu mwakuu shule ya kwanza za serikali ni ya 53 ilboru nategemea mwakani shule za serikali zitaanzia namba 100
 
Jaman shule yangu ya iyunga tech vipi 0ne ya 7 hakuna au naomba kujua
 
Teh teh et hawaibi mitihani cha bure ndo madhara yake hayo mkuu mwakuu shule ya kwanza za serikali ni ya 53 ilboru nategemea mwakani shule za serikali zitaanzia namba 100
Angalia na idadi ya wanafunzi,
Mfano mdogo...

Ilboru div I-54 div II-35
Feza boys div I-57 div II-10
Kibaha div I-58 div II-30
Alliance boys div I-42 div II-1

sasa just assume hzo shule zote zingekuwa na idadi sawa ya wanafunzi let's say wanafunzi 60
Shule ipi ingekuwa bora hapo?
 
Tuliosoma za serikalii ni vichwa kinoma wengine wametafuta one kwa 10ml sisi kwa 280000
 
Ninachokifaham mm hata miaka ya nyuma hizo shule zilikuwa na wanafunzi wengi hivyo hivyo bt stil zilikuwa na matokeo mazuri kuzidi hizo zenye watoto wachache mkuu

Mkuu wa shule ya ilboru katoa ufafanuzi mzuri sana juu ya kushuka kwa hizo shule kwa mfano mtoto anae soma shule hizo anapewa bajeti ya 1500 per day mkuu unahisi nini kutafuatwa hapo?

Facilities za hizo shule mkuu zinajitosheleza hata ukiziona mwenyee unakubali kama wanastaili kuongoza leo hii unataka kuringanisha na mtoto form one mpaka four hata tangi ya test tube haifaham mkuu

Walimu wa hizo shule bora wanathamuniwa tena sana mfano ni walimu wa hiyo shule ya Kaizirega mshahara mzuri, makazi mazuri kwann mwalimu huyu ashindwe kufanya kazi kwa uhakika

Leo unategemea mwalimu huyo huyo akabebe nango la kudai malimbikuzo yake ya mshahara then huyo huyo akutengeneze mtoto wa kuongoza kitaifa

HAITAWEZEKANA KAMWE

kujipa matumaini kupitia hizo shule kwa sasa ni sawa na kusubiri ndege bandalini mkuu
 
Mkuu huyu binti kapata C 4 yaani Geo c, kisw c Engl c Bio c na amepata Civ d Hist D na Chem f Maths f combination ya kwanza kuchagua ni CBG HGK HKL HGL je anaweza kupata nafasi form five kwa uchaguzi wake huo? Na Kama chip anaweza kwenda diploma kwa ufaulu wake huo
Mkuu kombi ilio balance ni lazima isiwe na zaidi ya point 9 yaani CCC ukiweka point 10 hiyo kombi haijabalance yaani CCD ingawa kigezo hicho hutegemea sana mwaka husika kuna mwaka ukiwa na ccd shule za serikali hauwezi kupata ingawa private utaenda vile vile miaka mingine performance ikiwa poor hata ccd anachaguliwa kwenda form five ilimradi tu awe na div 3
 
Back
Top Bottom