RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
S1402/0009M1402/0009
F
33
IV
CIV - 'F' HIST - 'D' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S1402/0010
F
35
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' EN
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
S1402/0009M1402/0009
S4279/0029S4279/0029 Mchanganuo was alama kwa kila somo
S4279/0029
F
25
III
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'F' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
Nani dada wewe?,kuwa na adabu.Huoni kama nimemuwekea matokeo huyu alieomba mchanganuo wa alama.jiandae tu kwendA shule, iv dada kemia ulichukua ya nini?
Safi SanaS4279/0029
F
25
III
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'F' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
Nani dada wewe?,kuwa na adabu.Huoni kama nimemuwekea matokeo huyu alieomba mchanganuo wa alama.
Hayaga nkoi, watogwa otindaga ungw'anike?Safi Sana
Niyo getegeteHayaga nkoi, watogwa otindaga ungw'anike?
Mpeleke labda polisi.....au mtafutie biashara afanyeDOH MA SON DOGO LANGU MSAIDIENI HUYU ANA DIVISION 4 YA 31
CIVICS "D" KISWAHILI"D"
GEO"D"ENGLISH"D"BIOS"F"B/KEEPING'F"COMM"F"HISTORY"F"MATH"F"
HUYU VP CERTIFICATE GANI INAMFAA KURISIT HATAKI?
MAWAZO PLZ
Mpeleke labda polisi.....au mtafutie biashara afanye
Certificate ya law IJA Lushoto kama atapata nafasi na katika Journalism kuna vyuo kibao mtaani hawezi kukosa kama TIME, DSJ n.kAHAA SI MBAYA SON ILA ANAHITAJI KUSOMA THT Y NIKATAKA USHAUR SIO MZAHA KK INSHU CERTIFICATE IPI NA CHUO GAN
Kiukwel madogo wa skuiz hawasomi, walimu wanajitahidi kwa kiasi chao ila mitoto haielewi, kuna shule jiran hapa yani wanafunzi wamepinda hawana habari na shule, ikifika saa nne tu wanatoroka shule, mara wana wawinda walimu wao wawapige mawe yani shida tu mkuuUsemayo ni kweli ila serikali yatakiwa jiangalia zaidi, ilianzisha shule nyingi ila waalimu haikuzalisha, na kama ilizalisha malipo ya hao walimu ni madogo sana hadi kufanya watu kushindwa kufundisha......
Kingine wengi wa failures wa hapa Dar ni kutokana na kuendekeza Starehe, unakuta mdada shule anaenda kucheza mziki tu
Tumia find in page kwa kutumia operaminiWengine tunatumia simu je tutayapata, maana simu yangu haina hiyo control button
Anaenda advance huyo kashafaulu ila awe ame balance comb tuMkuu kwa matokeo hayo anaweza kwenda hata ualimu?
Tengeneza combination yoyote ila izae point 10 then iyo itamfaa.Kuna dogo apa ana physics=D,chemistr=D,mathmatics=D,english=B,mengne hayo yote ana C je huyu kombi zipi ztamfaa...ye anapenda sayansi