Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

80% ya watahiniwa wamefeli Hisabati. Kuna haja ya kuwatahini pia walimu wa Namba aisee. Kuna tatizo!
 
Sasa katika matokeo wanaoandikiwa *E* manaake nini??
 
Kwenye jina la mtoto wangu hakuna matokeo wameandika "e" tu.nini maana yake..????au kapiga Zero.
 
habari zenu wakuu!! nina mdogo wangu jirani hapa kaja muda si mrefu akiwa analia kwa matokeo hayo chini ,mama yke kamtimua ndan kwa kudai alikuwa anacheza school..lkini dogo kaniomba nimsaidie ajue anaweza chaguliwa au vipi? nipo naye mpaka muda huu analia!!
PHYSICS-F
MATHEMATICS-F
CIVICS-D
CHEMISTRY-D
HISTORY-D
GEO-C
KISWAHILI-C
BIO-D
ENG-D

DIVISION -IV POINT 26.
nisaidieni wakuu !!
Hapo kuchaguliwa ngumu
 
Wadau wa jukwaa hili la fikra huru...! Nawasalimu nyote!

Matokeo ya kidato cha nne 2015 ndiyo yameshatangazwa, ufaulu unaonekana kushuka kidogo. Lengo la uzi huu ni kujaribu kupata maoni ya wadau mbalimbali juu ya jinsi ya kuwasaidia wadogo zetu ambao wamepata alama za chini au zisizowapa fursa ya kuendelea na kidato cha tano.

Binafsi, nina mtoto wa dada yangu (Binti), hajafanya vyema sana, amepata div 4. Amepata C ya kiswahili, C ya English na D ya Civics, mengine yote kapata F. Sijui nimsaidieje. Ni kwa mtizamo huu, nimeanzisha uzi huu....ili kupata maoni yenu, kwa faida ya wadogo zetu waliopata matokeo ya mrengo huu...!

Karibuni...tuwaongoze, ninajua wako wengi wenye majanga haya .....comment constructively please!

Asante sana,

PJM.
Pole sana. Ushauri mtafutie kozi asomee CBE kuna kozi nyingi tu. Kurudia ni issue sana
 
Thanx god mdogo wangu wa mwisho amepata KIJITI cha 14 chochote cha kunishauri Mimi kuhusu huyu dogo wakuu S2744/0062.
Hongera zake, kuna shule flani ada zao mamilioni but output zao mdebwedo!
 
Kuna dogo apa ana physics=D,chemistr=D,mathmatics=D,english=B,mengne hayo yote ana C je huyu kombi zipi ztamfaa...ye anapenda sayansi
 
Kuna dogo apa ana physics=D,chemistr=D,mathmatics=D,english=B,mengne hayo yote ana C je huyu kombi zipi ztamfaa...ye anapenda sayansi
Shule za binafsi sio ishu hawaangalii kubalansi comb.....
PCM...PCB...CBG...PGM zote saw a tu
Hela yako tu ht km una DDD...but ni kwa zile ambazo nafasi ni nyingi waombaji wachache
 
Matokeo yanapatikana kwa kupitia TextTETEA sasa. Tuma MATOKEO kwa 0759350150 kupata maelekezo.
 
Back
Top Bottom