Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

habari zenu wakuu!! nina mdogo wangu jirani hapa kaja muda si mrefu akiwa analia kwa matokeo hayo chini ,mama yke kamtimua ndan kwa kudai alikuwa anacheza school..lkini dogo kaniomba nimsaidie ajue anaweza chaguliwa au vipi? nipo naye mpaka muda huu analia!!
PHYSICS-F
MATHEMATICS-F
CIVICS-D
CHEMISTRY-D
HISTORY-D
GEO-C
KISWAHILI-C
BIO-D
ENG-D

DIVISION -IV POINT 26.
nisaidieni wakuu !!
Mwambie aende ualimu...
 
Nazani mmekubali nilicho kisema next time.... Hongeren kwa mlio faulu
 
Shule zilizoongoza matokeo kidato cha NNE
1.Kazirege –Kagera
2.Alliance Girls-Mwanza
3. St Francis Girls-Mbeya
4. Alliance Boys-Mwanza
5. Canossa-DSM
6. Marian Boys-Pwani
7. Alliance Army Rock-Mwanza
8. Feza Girls-DSM
9. Feza Boys-DSM
10. Uru Seminary-Kilimanjaro
 
Nilikuwa na ndugu mmoja tu akisoma shule fulani na yeye kapata division 1 ingawa nina mashaka nayo.... waliofeli poleni sana ila ndo Tanzania
...ulitaka apate div. O ndio ufurahi?!, ndugu wengine vichomi kweli.!
 
Shule zilifanya vibaya matokeo ya kidato cha NNE
1. Pande ya mkoani Lindi,
2. Igawa ya Morogoro,
3.Korona ya Arusha,
4. Sofi ya Morogoro,
5. Kurui ya mkoani Pwani
6. Patema ya Tanga
7. Saviak ya Dar es salaam,
8. Gubali ya Dodoma,
9. Kichangani ya Morogoro
10. Malinyi ya Morogoro.
 
...hivi ni kweli credit (C) za kwenda A level zimeongezwa toka tatu mpaka tano?
 
JAMANI NATAKA KUJUA herufi E* inamaanisha nini kwenye Matokeo haya ya FORM FOUR ,,maana kuna mtu ameandikiwa E* KWENYE DIV
 
Wadau wa jukwaa hili la fikra huru...! Nawasalimu nyote!

Matokeo ya kidato cha nne 2015 ndiyo yameshatangazwa, ufaulu unaonekana kushuka kidogo. Lengo la uzi huu ni kujaribu kupata maoni ya wadau mbalimbali juu ya jinsi ya kuwasaidia wadogo zetu ambao wamepata alama za chini au zisizowapa fursa ya kuendelea na kidato cha tano.

Binafsi, nina mtoto wa dada yangu (Binti), hajafanya vyema sana, amepata div 4. Amepata C ya kiswahili, C ya English na D ya Civics, mengine yote kapata F. Sijui nimsaidieje. Ni kwa mtizamo huu, nimeanzisha uzi huu....ili kupata maoni yenu, kwa faida ya wadogo zetu waliopata matokeo ya mrengo huu...!

Karibuni...tuwaongoze, ninajua wako wengi wenye majanga haya .....comment constructively please!

Asante sana,

PJM.
 
Mkuu watu wote hum jf wangekuwa na akili kama zako nchi ingekuwa mbali, bigup, watu wa kifel tutafute namna ya kuwafanya waendelee, kufel shule si kufel maisha..


Nashukuru sana
 
Wakuuuu!

Hebu nipeni msaada kwa aliepata Divisions 4 ya 29 anaweza kuendelea kusoma ( either colleges)
Au ndo kusoma kumekwamia hapo....

Am serous, seeking for a help....
 
Thanx god mdogo wangu wa mwisho amepata KIJITI cha 14 chochote cha kunishauri Mimi kuhusu huyu dogo wakuu S2744/0062.
 
Usemayo ni kweli ila serikali yatakiwa jiangalia zaidi, ilianzisha shule nyingi ila waalimu haikuzalisha, na kama ilizalisha malipo ya hao walimu ni madogo sana hadi kufanya watu kushindwa kufundisha......
Kingine wengi wa failures wa hapa Dar ni kutokana na kuendekeza Starehe, unakuta mdada shule anaenda kucheza mziki tu


Hapo kwenye red ndizo changamoto ambazo kila mdau anatakiwa kufikiri na kuzitafutia ufumbuzi, kwamfano ili huyo mdada asiende kucheza muziki shuleni wewe na mimi na yule.. tungeshauri nini kifanyike na kifanyike namna gani ili na wengine wanaofanana naye wajifunze toka kwake
 
Kuna college kama amepata Credits kwenye masomo husika. Otherwise, Hapo ni ku resit tu. Maana NACTE wanabana mno kwa vi college kwa sasa, sio kama zamani watu walikuwa wanaenda college hata kama wana D tu.
 
Shule zilizoongoza matokeo kidato cha NNE
1.Kazirege –Kagera
2.Alliance Girls-Mwanza
3. St Francis Girls-Mbeya
4. Alliance Boys-Mwanza
5. Canossa-DSM
6. Marian Boys-Pwani
7. Alliance Army Rock-Mwanza
8. Feza Girls-DSM
9. Feza Boys-DSM
10. Uru Seminary-Kilimanjaro
Hiyo ya kwanza mbona haipatikani kwenye mtandao wa NECTA. Inatumia jina gani?
 
Back
Top Bottom