Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Website konokono anaspeed ya supersonic. Bongo aisee shida sana . Watu 10 waki query tu kitu kinaganda
 
hzo link za bongo zinazingua mkifungua watu watano kwa pamoja tu inagoma. hyo link ya Necta Imezidiwa mzigo jamaniii
experts wake watakuwa wanatoka chuo cha kata au chuo kikuuu dasalam....!!?? nauliza tu msinikate mapanga wakuu
 
Duh dogo langu lilikuwa linachonga sana lkn limeleta
SIFURI......[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
MPE pole dogo letu
Nilipata div 3 ya mwisho akachonga na kunicheka...
Hata pole simpi !!!!!
Safi sana Ndalichako kwa kurudisha mfumo wa division
Tuheshimiane kitaa sasa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Nilipata div 3 ya mwisho akachonga ni kunicheka...
Hata pole simpi !!!!!
Safi sana Ndalichako kwa kurudisha mfumo wa division
Tuheshimiane kitaa sasa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mimi mdogo wangu amekataa kunipa namba yake. Natamani warudishe ile system ya majina kama zamani
 
Back
Top Bottom