mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
MkTuma Namba ya form 4 na sh ". 500
Katika hii Namba 0766047815
Baada ya DK 2 utapata matokeo yako.
Ni uhakika...
Mkuu uko kijiji gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkTuma Namba ya form 4 na sh ". 500
Katika hii Namba 0766047815
Baada ya DK 2 utapata matokeo yako.
Ni uhakika...
Pole sana.....!Tuma Namba ya form 4 na sh ". 500
Katika hii Namba 0766047815
Baada ya DK 2 utapata matokeo yako.
Ni uhakika...
mbona mnaibiwa na matokeo yenu kusambazwa wakati hata majina hawayapati?S.1009/102
S1009/0065S.1009/65
S1009/0066S.1009/66
Tulitaka mahouse gelo sasa tumewapata
Wewe jamaa ni wa wapi wewe?Tuma Namba ya form 4 na sh ". 500
Katika hii Namba 0766047815
Baada ya DK 2 utapata matokeo yako.
Ni uhakika...
Usemayo ni kweli ila serikali yatakiwa jiangalia zaidi, ilianzisha shule nyingi ila waalimu haikuzalisha, na kama ilizalisha malipo ya hao walimu ni madogo sana hadi kufanya watu kushindwa kufundisha......Huu ni mzigo kwetu sote, hapa inatakiwa wasomi na wadau wa elimu pamoja na wapenda maendeleo ya watanzania wote kwa ujumla kunoa vichwa kutafuta namna ya kuwawezesha hao failures kuendelezwa kwenye nyanja zingine kama ufundi nk, si kweli kuwa waliofeli hawana akili kuna factors nyingi za kutazama,
Mode njooni mtumbue jipu hiliTuma Namba ya form 4 na sh ". 500
Katika hii Namba 0766047815
Baada ya DK 2 utapata matokeo yako.
Ni uhakika...
Mkuu watu wote hum jf wangekuwa na akili kama zako nchi ingekuwa mbali, bigup, watu wa kifel tutafute namna ya kuwafanya waendelee, kufel shule si kufel maisha..Huu ni mzigo kwetu sote, hapa inatakiwa wasomi na wadau wa elimu pamoja na wapenda maendeleo ya watanzania wote kwa ujumla kunoa vichwa kutafuta namna ya kuwawezesha hao failures kuendelezwa kwenye nyanja zingine kama ufundi nk, si kweli kuwa waliofeli hawana akili kuna factors nyingi za kutazama,
S3348/0104S.3348/0104
wadogo zetu walikuwa bado wadogo kuwekewa hizi marks waliwafoc sana kiupeoHeshima kwa Ndalichako, dah watoto wameangaika na Merit sijui distinction final kawarudisha kwenye division na hakuna B+
Wengine tunatumia simu je tutayapata, maana simu yangu haina hiyo control buttonmbona mnaibiwa na matokeo yenu kusambazwa wakati hata majina hawayapati?
fanya yafuatayo
- link umepewa http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/Olevel.htm
- ikifunguka binyeza Ctrl(Control buttin) papo hapo na F kwa pamoja patatokea kisanduku chini kulia jaza namba ya shule
- ukiipata hiyo shule tafuta namba zako au tena Ctrl+F utaona matokeo
S1009 BABATI DAY SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0; DIV-II = 5; DIV-III = 10; DIV-IV = 64; DIV-0 = 89
CNO
SEX
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S1009/0001
F
35
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1009/0002
F
34
0
CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' E/D/KIISLAMU - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'