Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/Olevel.htmMBONA HAYAFUNGUKI?
Na shule zilizofanya vizuri pia zipo Tanga na pwani,full kusoma.#Habari:Baraza la mitihani
nchini Necta limetoa matokeo
ya kidato cha nne ya mwaka
2015 kwa kutumia mfumo wa
Division badala ya GPA
ambapo ufaulu umeshuka
kutoka asilimia 69.75 2014
hadi asilimia 67.91,2015.
Link tafadhali
Morogoro mmetisha....shule nne za mwisho zimetinga
Ningeshangaa pwani na tanga kusiwe na shule ya mwisho... full kukata mauno badala ya kusoma
Hata mtoto wa dada yako, shangazi etc , people you are related with wamo, acha ushetaniNshapata wauza wauza bar
umefungua hiyo link lakini? mbona kwangu yanfunguka bila shida...mkuu yanagoma inakuaje
S3348/0104S.3348/0104
Ok mkuu....Ngoja nikutumie namba Mkuu.