Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

**** dogo mmoja ILIBORU kapiga A 8 Maths na Adv Maths zote A
 
Ni muda wa masaa matatu sasa hiyo Link haifunguki!
 
Kumake hawa vibaka watarajiwa
House boys, House Girls wamepatikana mwaka huu
Mwaka jana kila mtu alifaulu....
Masecretary wanamaliza May

Hebu ona watu wanaoanza darasa la Kwanza ni 1mil ila wanaomaliza fomu foo ni 200k hao 800k wameenda wapi sijui
 
hizi website za serikali sijui huwa zinaumwa ugonjwa gani, matokeo yakitoka tu, hazifunguki vizuri!!!yani ndio maana kuna mtu alisema ukitaka kupata matatizo, nenda kwenye vitu vya serikali!
 
aliyoko hewan aniangalizie huyu mtoto S.2295/0094 kutoka MAIRIVA SEC SCHOOL
S2295/0094

M 31 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
 
Nisaidie watoto hawa s.1445/0011 na s.1947/0050
S1445/0011

Female 25 III

CIV - 'C' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'D' B/MATH - 'D' COMM - 'F' B/KEEPING - 'D'

S1947/0050

F *E *E- Matokeo yamezuiliwa.

---
 
Back
Top Bottom