Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
1. Jamii ya watanzania haipendi kujisomea.
2. Wanafunzi wa Tanzania hasa O level hawawezi kujisomea bila usimamizi wa mwalimu.
3. Familia nyingi Tanzania hazina uwezo wa kuwanunulia watoto vitabu ili wajisomee nyumbani.
4. Shule pia hazina vitabu kabisa vya kutosha.
5. Shule zilifungwa muda mrefu Sana mwaka Jana kwasababu ya Corona.
6. Mikusanyiko na tuition zote mitaani zilipigwa ban. Hii ilimaanisha wanafunzi waliokuwa likizo ndefu hawakujisomea pamoja.
7. Hii maana yake mwaka Jana wanafunzi walikaa darasani muda mfupi.
SWALI LANGU:
Huu ufaulu mkubwa hivi ambao unauzidi wa mwaka 2019 ni halali? Haujapikwa? Hamjapanua goli?
Je, mnataka kutuaminisha kwamba wanafunzi watoro shuleni ndio wanaopaswa kufaulu?
Yani mimi nikae darasani mwaka mzima nikimsikiliza mwalimu na kufanya mapraktiko kila siku nije nipitwe na mwanafunzi mtoro aliekaa nyumbani miezi minne?
NECTA naomba ufafanuzi wa maajabu haya katika elimu ya Tanzania.
2. Wanafunzi wa Tanzania hasa O level hawawezi kujisomea bila usimamizi wa mwalimu.
3. Familia nyingi Tanzania hazina uwezo wa kuwanunulia watoto vitabu ili wajisomee nyumbani.
4. Shule pia hazina vitabu kabisa vya kutosha.
5. Shule zilifungwa muda mrefu Sana mwaka Jana kwasababu ya Corona.
6. Mikusanyiko na tuition zote mitaani zilipigwa ban. Hii ilimaanisha wanafunzi waliokuwa likizo ndefu hawakujisomea pamoja.
7. Hii maana yake mwaka Jana wanafunzi walikaa darasani muda mfupi.
SWALI LANGU:
Huu ufaulu mkubwa hivi ambao unauzidi wa mwaka 2019 ni halali? Haujapikwa? Hamjapanua goli?
Je, mnataka kutuaminisha kwamba wanafunzi watoro shuleni ndio wanaopaswa kufaulu?
Yani mimi nikae darasani mwaka mzima nikimsikiliza mwalimu na kufanya mapraktiko kila siku nije nipitwe na mwanafunzi mtoro aliekaa nyumbani miezi minne?
NECTA naomba ufafanuzi wa maajabu haya katika elimu ya Tanzania.