Baraza la sanaa(BASATA) lasitisha usajili wa Msanii Dudubaya

Huo ni mwanzo tu nadhani mpaka j3 watampandisha kizimbani sasa hivi watakuwa wanatafuta kesi ya kumpa
Kwa jinsi niijuavyo Tanzania,mpaka sasa unaweza kuta tayari ana kesi zaidi hata ya 10 za kujibu,ndipo unajiuliza zimetokea wapi na kavunja sheria gani.
 
U
Kama wapo sahihi, ni busara, mara nyingi, kuwaheshimu watu wenye "power". Wana athari kwa kiasi kikubwa kwenye mustakabali wa maisha yako.
Umenena kama mtu mwenye hekima ya juu zaidi kushinda yote.
 
Hizi nchi zetu bwanaaa,,watu ni maskini mpaka kifikra,, kuna muda unajiuliza hawa watu wa nauelewa kweli,, daah! Aibu nimeona Mimi,, sijui nchi zilizoendelea wanatuchukuliajee,,
 
hahahahahahaaa

wameahindwa kusema dudubaya katamka ambacho hakiruhusiwi

watu wanamsema marehemu Nyerere itakuwa Ruge?
 
Lakin bado hakuna la kumfanya afungiwe hapo,Basata wamefata order ya boss wao na si vinginevyo

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Duh Mama Amon....mbona ni kama flani....kwa nondo hizi mujarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…